kalamu ya chuma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 214
- 63
jamani nisaidieni nataka kusoma certificate au diploma ya afya naomba wapi? wizarani au?
Ahsante kwa swali zuri.
Nakushauri usome diploma kuliko certificate.
Pili, waweza omba wizarani au sehemu hizi zifuatazo;
1. Muhimbili university
2. Bugando university
3. Lugalo school of nursing.
KUMBUKA UKISOMA SEHEMU NYINGINEZO ZA PRIVATE HUTAAJIRIWA NA SERIKALI PIGA UA. SEHEMU HIZO NILIZOORODHESHA HAPO JUU NDIZO ZINAZOTAMBULIWA NA SERIKALI. KAMA UNATAKA MAELEZO ZAIDI NI-PM
Ahsante kwa swali zuri.
Nakushauri usome diploma kuliko certificate.
Pili, waweza omba wizarani au sehemu hizi zifuatazo;
1. Muhimbili university
2. Bugando university
3. Lugalo school of nursing.
KUMBUKA UKISOMA SEHEMU NYINGINEZO ZA PRIVATE HUTAAJIRIWA NA SERIKALI PIGA UA. SEHEMU HIZO NILIZOORODHESHA HAPO JUU NDIZO ZINAZOTAMBULIWA NA SERIKALI. KAMA UNATAKA MAELEZO ZAIDI NI-PM
Ahsante kwa swali zuri.
Nakushauri usome diploma kuliko certificate.
Pili, waweza omba wizarani au sehemu hizi zifuatazo;
1. Muhimbili university
2. Bugando university
3. Lugalo school of nursing.
KUMBUKA UKISOMA SEHEMU NYINGINEZO ZA PRIVATE HUTAAJIRIWA NA SERIKALI PIGA UA. SEHEMU HIZO NILIZOORODHESHA HAPO JUU NDIZO ZINAZOTAMBULIWA NA SERIKALI. KAMA UNATAKA MAELEZO ZAIDI NI-PM
Wakuu me nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata
Biology C
Chemistry D
Physics D
Kw naweza kutuma maombi ya kusomea clinical officer na nitaombaje nafasi naomba mnisaidie
safi sana bosi, nimemaliza kidato cha nne,naweza kutuma application hata kesho? plz nataka kutuma mapema nisije chelewa.
Ahsante kwa swali zuri.
Nakushauri usome diploma kuliko certificate.
Pili, waweza omba wizarani au sehemu hizi zifuatazo;
1. Muhimbili university
2. Bugando university
3. Lugalo school of nursing.
KUMBUKA UKISOMA SEHEMU NYINGINEZO ZA PRIVATE HUTAAJIRIWA NA SERIKALI PIGA UA. SEHEMU HIZO NILIZOORODHESHA HAPO JUU NDIZO ZINAZOTAMBULIWA NA SERIKALI. KAMA UNATAKA MAELEZO ZAIDI NI-PM
hasara ni ada na reputationaliyesoma vyuo vya private na vya serekali kuna hasara yoyote kati ya hao wawili..?
ingia kwenye website ya nactejamani nisaidieni nataka kusoma certificate au diploma ya afya naomba wapi? wizarani au?
jamani mbona ukitaka 'kureset choices' kwenye application inazingua.nimechagua vyuo vitatu lakini nataka kurekebisha kimoja niweke kingine sasa pale kwenye kureset choices inazingua.msaada kwa anayefahamu
kozi ya afya unayoweza soma ni COMMUNITY HEALTH tu.Wakuu na mm nmepata hv
Bios d
Chem d
Phys f
Engl d
math f
Civ c
Geog d
Kisw c
Hist d
Yaan nina div 4 ya 26
Je, naweza soma kozi ya afya ukiacha nursing?
Naomben mnisaidie wakuu