Mkata kimeo
Member
- Sep 30, 2019
- 83
- 82
Wacha wa mfunze nizamu tu hamna namna ya kumtetea.
Mchezaji hapashwi kuwaendesha viongozi bzli uongozi ndio umwendeshe mchezaji.Wanahitajika viongozi na wasimamizi wa soka kama huyo Mazingiza maana tunafeli sababu wachezaji kujiona wao ni bora sana ktk timu kuliko yeyote.
Wengine pia wajifunze kupitia kwa tukio hilo.Nimempenda mno atunyooshee hawa.
Kama unampenda sana Jonas kanywe chaye chao kwenuHuyo bosi uchwara aache uswahili, ndege yenyewe inaweza chelewa itakua abiria! Haoni foleni za dar hizi
Ongea na Mkude kwanza, hayo mambo kwenye dunia ya wenzetu hayapo acha kutetea ujingaHuyo bosi uchwara aache uswahili, ndege yenyewe inaweza chelewa itakua abiria! Haoni foleni za dar hizi
Na huo ndio msimamo wa wanaSimba tulio wengi. Walikuwepo akina Hussein Masha, mchezaji ambaye hakuwahi kukosa penati katika historia ya soka, leo hayupo Msimbazi itakuwa Mkude. SIMBA KWANZA!
An Eagle haya kijana umemwona mkude ?
Mchezaji alala usingizi anachelewa gari ,au alikua kukamua mzigo washemu usingizi ukampitia,wachezaji wakibongo hatafu unawatetea!!!wewe lazima myangayanga siobureHuyo bosi uchwara aache uswahili, ndege yenyewe inaweza chelewa itakua abiria! Haoni foleni za dar hizi