Mlyafinono
Senior Member
- Apr 6, 2012
- 177
- 47
Makamanda wa cdm, zito kabwe, john mnyika, sugu na godbles lema kuwasha moto leo uwanja wa kihesa manispaa ya iringa.Mkutano wa nape ambao ulitakiwa ufanyike leo uwanja wa mwembetogwa waahirishwa hadi kesho kwa kuhofia kukosa watu.