CDM inajifunza kwa makosa ya CCM

Iriora

Member
Mar 31, 2012
15
0
Sheria ni tofauti na hisia za wanachi, ukifuatilia kesi nyingi duniani za ushaidi wa wazi na watuhumiwa wanashinda. Wa CDM kunatofauti kubwa kati ya hisia na sheria, huu sio wakati wa kushangaa na kulalamika ni wakati wa kujifunza na kukubali mabadiliko. Tunapo lalamika hatuna ushaidi wa Lema akitukana hiyo ni kazi ya mahakama huku tukiufananisha na wa Lusinde bila kwenda mahakamani tunapoteza mda na jf ni blog na sio muhimili wa dola. Hii hukumu wana CDM imekuja wakati muhimu na binadamu tunajifunza kwa makosa, leo tumevuliwa ubunge kwa matusi 2015 tutavuliwa uraisi kwa matusi.
Nawakilish>>
 
Kuvuliwa ubunge kama alitoa matusi na kashfa ambazo sheria inakataza ni sawa kabisa. Ila kumtia hatiani kwa kifungi 108 a halafu ukatoa hukumu kwa kutumia kifungu 114 sio sahihi kisheria, the judge erred in law( kwa makusudi)
 
Hukumu wote tunajua haiwezi kuwa sahihi, tunapoteza mda kufikiria yasiyo sahihi na kuacha yaliyo sahihi. Watanzania huu mda ni wa kuact sio kulalamika. CCM wame act ndio maana tumevuliwa ubunge, CDM wanajibu matusi ya Kibajaji kwa kulalamika. Mimi huu naita unafiki kuto kuwepo wananchi walio kerwa na matusi ya kibajaji kama walio kerwa na ya Lema
 
Back
Top Bottom