Rais kutoka CCM ndiye huwa anatoa taswira ya upinzani wa Tanzania, akiyanyima "minuso" na "connections" kama alivyowabania Jiwe yanakuwa wapinzani WA kweli, akiyapa juisi na kawagawia bahasha kama anavyofanya Hangaya kupitia kwa Abdul wanatepeta haswa!
Nje ya mada, kama kuna mtu mwenye taarifa za hali ya Abdul Nondo anaendeleaje anijulishe hata kupitia PM!