Ni muhimu wakutanae kwa ajili ya amani ya wanaigunga,watanzania wenzetu, siasa safi ni pamoja na marithiano hasa ya kudumisha amani, vijana wa CHADEMA wasife moyo kwani chama si cha vurugu kama inavyohubiriwa,viongozi walio kwenye majadiliano ni makini,tutegemea utulivu wakati wa zoezi la upigaji kura, kutunishiana misuri hakutatui kero za igunga,wanaigunga wenyewe wana akili timamu wataaamua okt 2 na kumaliza ubishi.