CDM: CCM wanavuraga amani makusudi kwanini mkutane nao faragha kuongea?

Mkwawa

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
1,334
1,464
Chama kinapokuwa madarakani kina wajibu mkubwa mbele ya jamii, na wajibu mmojawapo ni kuhakikisha ulinzi na usalama wa watu wake na mali zao ndani ya mipika ya nchi siku zote na wakati wote. Vurugu zinazotokea Igunga zinafanywa makusudi na serikali ya CCM ili kuvipaka matope vyama vya upinzani.

Sielewi kwanini Viongozi wa CDM wameamua kukaa na wana siasa Vijana wa CCM kuzungumzia hizo vurugu zinazofanywa na CCM bila jeshi la polisi kuchukua hatua. Tumeshuhudia polisi wakipewa na maelekezo na viongozi wa juu wa serikali pale makada wa CCM wanapo dhuru maisha ya binadamu hata kuwaumiza.

Shigela alihusika kupigwa kwa mwanacham,a wa CUF wala hajahojiwa
Aeshi na mwenzake walihusika kuwafyatulia risasi walinzi wa CDM- haukuhojiwa akashikiliwa Waitara
Rage kapanda na silaha juu ya jukwaa la hadhara- kaomba msamaha Clouds FM
Fatuma Kimario kakusanya makada wa CCM kuwandaa kuiba kura - Jela wakalala makamanda wa CDM
Mwigulu kamwingilia kimapenzi mke wa kada mwenzake CCM ikahonga mume katulia
CCM wamemwagia kada wao tindikali- wakaambiwa ni CDM
CCM imemchomea kada wao nyumba kila kitu kikaungua ikabaki eti karatasi inadai CDM
CCM wametumia lugha za uchochezi na kidini
CCM imetumia waumini wa dini moja kuchukia vyama vingine.

Hawa watu mnakaa nao wa nini hasa, sisi wananchi tumeshawachoka hatutaki kuwasikia wala kuendelea kutuongoza, kwanini mnawabembeleza. Siasa zibakie majukwaani. Mnawachnganya hata vijana na walinzi wa CDM wanojitoa kutetea chama na maslahi ya wananchi hata kwa uhai wao. Hawa CCM mnaowatukuza sasa, kesho wanabeba mputa mputa kwenda jela lama ninyi sio binadamu.

Haijawahi kutokea CCM kutaka kukaa mezani kwenye uchaguzi. Mnajua nia yao ni nini au ni siasa za kujipendekeza. Hubirini na muishi mnayohubiri msituchezee viini macho.

Mwafaka wowote na CCM ni uhaini.

Chief Mkwawa wa Kalenga
Uhuru ni pamoja na kumjua aliyekuweka utumwani.
 
Kitendo cha vjana wa ccm kuwafuata viongozi wa cdm kuomba radhi kwa wanayoyafanya vjana wao wa green gard ni kukiri makosa ya vijana wao na kilichokuwa kinatakiwa ni cdm kuwarekodi hao jamaa na kupeleka ushahidi mahakamani. Hapo watakuwa wamefanya jambo la maana sana. Washtakiwe ili wapate hukumu yao.
 
ndio mkuu.mimi mwenyewe sipendi kitu kinachoitwa eti tume ya maridhiano na ukweli au muafaka baada ya watu kuumiza wenzao makusudi.Walah naapa chadema siku ikikubali muafaka na hawa makafiri mie nitakuwa wa kwanza kupinga na hata kuihujumu.
 
Ni muhimu wakutanae kwa ajili ya amani ya wanaigunga,watanzania wenzetu, siasa safi ni pamoja na marithiano hasa ya kudumisha amani, vijana wa CHADEMA wasife moyo kwani chama si cha vurugu kama inavyohubiriwa,viongozi walio kwenye majadiliano ni makini,tutegemea utulivu wakati wa zoezi la upigaji kura, kutunishiana misuri hakutatui kero za igunga,wanaigunga wenyewe wana akili timamu wataaamua okt 2 na kumaliza ubishi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom