Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
Chama kinapokuwa madarakani kina wajibu mkubwa mbele ya jamii, na wajibu mmojawapo ni kuhakikisha ulinzi na usalama wa watu wake na mali zao ndani ya mipika ya nchi siku zote na wakati wote. Vurugu zinazotokea Igunga zinafanywa makusudi na serikali ya CCM ili kuvipaka matope vyama vya upinzani.
Sielewi kwanini Viongozi wa CDM wameamua kukaa na wana siasa Vijana wa CCM kuzungumzia hizo vurugu zinazofanywa na CCM bila jeshi la polisi kuchukua hatua. Tumeshuhudia polisi wakipewa na maelekezo na viongozi wa juu wa serikali pale makada wa CCM wanapo dhuru maisha ya binadamu hata kuwaumiza.
Shigela alihusika kupigwa kwa mwanacham,a wa CUF wala hajahojiwa
Aeshi na mwenzake walihusika kuwafyatulia risasi walinzi wa CDM- haukuhojiwa akashikiliwa Waitara
Rage kapanda na silaha juu ya jukwaa la hadhara- kaomba msamaha Clouds FM
Fatuma Kimario kakusanya makada wa CCM kuwandaa kuiba kura - Jela wakalala makamanda wa CDM
Mwigulu kamwingilia kimapenzi mke wa kada mwenzake CCM ikahonga mume katulia
CCM wamemwagia kada wao tindikali- wakaambiwa ni CDM
CCM imemchomea kada wao nyumba kila kitu kikaungua ikabaki eti karatasi inadai CDM
CCM wametumia lugha za uchochezi na kidini
CCM imetumia waumini wa dini moja kuchukia vyama vingine.
Hawa watu mnakaa nao wa nini hasa, sisi wananchi tumeshawachoka hatutaki kuwasikia wala kuendelea kutuongoza, kwanini mnawabembeleza. Siasa zibakie majukwaani. Mnawachnganya hata vijana na walinzi wa CDM wanojitoa kutetea chama na maslahi ya wananchi hata kwa uhai wao. Hawa CCM mnaowatukuza sasa, kesho wanabeba mputa mputa kwenda jela lama ninyi sio binadamu.
Haijawahi kutokea CCM kutaka kukaa mezani kwenye uchaguzi. Mnajua nia yao ni nini au ni siasa za kujipendekeza. Hubirini na muishi mnayohubiri msituchezee viini macho.
Mwafaka wowote na CCM ni uhaini.
Chief Mkwawa wa Kalenga
Uhuru ni pamoja na kumjua aliyekuweka utumwani.
Sielewi kwanini Viongozi wa CDM wameamua kukaa na wana siasa Vijana wa CCM kuzungumzia hizo vurugu zinazofanywa na CCM bila jeshi la polisi kuchukua hatua. Tumeshuhudia polisi wakipewa na maelekezo na viongozi wa juu wa serikali pale makada wa CCM wanapo dhuru maisha ya binadamu hata kuwaumiza.
Shigela alihusika kupigwa kwa mwanacham,a wa CUF wala hajahojiwa
Aeshi na mwenzake walihusika kuwafyatulia risasi walinzi wa CDM- haukuhojiwa akashikiliwa Waitara
Rage kapanda na silaha juu ya jukwaa la hadhara- kaomba msamaha Clouds FM
Fatuma Kimario kakusanya makada wa CCM kuwandaa kuiba kura - Jela wakalala makamanda wa CDM
Mwigulu kamwingilia kimapenzi mke wa kada mwenzake CCM ikahonga mume katulia
CCM wamemwagia kada wao tindikali- wakaambiwa ni CDM
CCM imemchomea kada wao nyumba kila kitu kikaungua ikabaki eti karatasi inadai CDM
CCM wametumia lugha za uchochezi na kidini
CCM imetumia waumini wa dini moja kuchukia vyama vingine.
Hawa watu mnakaa nao wa nini hasa, sisi wananchi tumeshawachoka hatutaki kuwasikia wala kuendelea kutuongoza, kwanini mnawabembeleza. Siasa zibakie majukwaani. Mnawachnganya hata vijana na walinzi wa CDM wanojitoa kutetea chama na maslahi ya wananchi hata kwa uhai wao. Hawa CCM mnaowatukuza sasa, kesho wanabeba mputa mputa kwenda jela lama ninyi sio binadamu.
Haijawahi kutokea CCM kutaka kukaa mezani kwenye uchaguzi. Mnajua nia yao ni nini au ni siasa za kujipendekeza. Hubirini na muishi mnayohubiri msituchezee viini macho.
Mwafaka wowote na CCM ni uhaini.
Chief Mkwawa wa Kalenga
Uhuru ni pamoja na kumjua aliyekuweka utumwani.