The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 11,001
- 13,532
Inaonekana Jacob Mkunda hamjui Kikwete wala Samuya. Kwa wanajeshi kuonekana na wananchi, kama ataingizwa choo ya kike, ajue atalipiza kwa vile mashetani anayocheza nayo hayana huruma wala ubinadamu. Najisemea. Onyo kwake. Jiandae. Baada ya kuwaokoa, watakuoka kama mkate na usaharike. Kama una muda, soma historia ya wale waliomuokea Moi.