CCM Zanzibar: Uamsho ifutwe mara moja!


wenyewe wanakwambia dini yao ni mfumo kamili wa maisha sasa sijui mfumi kamili wa maisha ni chuki dhidi ya wengine na kuuana!?
 
Acha maswali ya kitoto wewe.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Litakuchoma saaana lakin ukweli unabaki pale pale Znz hakuna Udini kwa sababu more than 99% ya raia wake ni dini moja.

Pasi na shaka yoyyote yooote anayotokea yanapandikizwa na majirani zao wa upande wa pili kwa nia ya kutaka kuweka mfumo usio sahihi Znz.

Pole sana
 


UAMSHO = Zanzibar huru+UIslam;

PONDA = Tanganyika huru+Uislam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…