Laiti Uamsho, Ponda, et al. wangekuwa na muono wa kuwaunganisha watanzania wote bila kuegemea too much udini nchi hii ingeshakombolewa kutoka makucha ya magamba.
Inapotokea mtu anaongea issue inayogusa maslahi ya wananchi wote lakini katika kuongea huko hawezi ongea maneno kumi bila kutaja dini yake inakuwa khatari sana.