ihi habari hata mimi nimeiona kwenye gazeti la uhuru,
kwa kweli imenishangaza sana, kweli ccm leo inawaita watanzania vibaka?
Kwa hiyo wale wanaokwenda kwenye mikutano ya ccm ndio sio vibaka? Amakweli hakuna ugonjwa mbaya kama ugonjwa wa kulewa madaraka,
chama cha mapinduzi kilitakiwa kijifunze kwa vyama tawala vilivyo ondolewa madarakani kwa kulewa madaraka,
hawa hawa leo wanao waita vibaka ndio hawa hawa walimpa jk kura zao kwa kulaghaiwa (maisha bora kwa kila mtanzania)
sasa tujiulize aliye sababisha kuzalisha vibaka ni nani???
Ama kweli sikio la kufa halina dawa na dawa yake vijana wote wa nchi ihi wataonyesha hasira zao kwenye sanduku la kura oct 25
na hasubui hasubui ccm bye bye ikajifunze nini maana ya uongozi nje ya serikali,