Kha jamani.. nemistuka kweli.. we rais wa Migomo umetuletea kichwa cha habari chenye mstuko.. UZINI?? ah kumbe ni jina la pahala kule zanziberi.. aisee.. majina mengine haya yanashtua.. wasilimishe mengine mapya.. mambo ya uzini, uzinzi, kuzini yanafananafanana ashkhum yabadilishwe manake kishwahili ni chetu wenyewe embu kisituchakachue mbele yetu ivi ivi.. majina magumu magumu tuwaachie wajapan peke yao...