albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,404
- 687
We ni mjinga, mama yako asikitike kuzaa mkazi wa Mirembe
imekuwa ni furaha kubwa kwa wana ccm pande zote za tz kwa kuwabwaga chadema vibaya bila kuwaonea huruma even if walianza kutapatapa kwa kusema hawakutaka kushinda nia ilikua ni kukitangaza chama pwani shiiiiiiiiiiiit!!!!!!!!!
unafunga banda farasi kashatoka? ni kichapo tu mwaka huu mtamkumbuka zitto mwaka huu
ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!
Poleni Chalinze ....
Ni wendawazimu tu watakao shangilia ushindi wa ccm tena mkoa wa Pwani. Sasa uchaguzi umeisha nenda katembelee vijijini hasa wilaya ya Bagamoyo ambako chalinze iliko ujionee hali ya maisha ya watu. Unashangilia kushinda wameshinda nini?
Ngoja sasa tuone hizo ahadi zilizomwagwa na hasa ununuzi wa matrekta kila kijiji. AMA KWELI WAJINGA NDIO WALIWAO
imekuwa ni furaha kubwa kwa wana ccm pande zote za tz kwa kuwabwaga chadema vibaya bila kuwaonea huruma even if walianza kutapatapa kwa kusema hawakutaka kushinda nia ilikua ni kukitangaza chama pwani shiiiiiiiiiiiit!!!!!!!!!
unafunga banda farasi kashatoka? ni kichapo tu mwaka huu mtamkumbuka zitto mwaka huu
ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!
We ni mjinga, mama yako asikitike kuzaa mkazi wa Mirembe