Kujifariji kama hivi ni vizuri kwa kuwa unaimarisha afya yakoHabari,
Ninazoendelea kuvuja kutoka ndani ya kikao kilichoketi Jumatatu hii na kuhusisha marais wastaafu Mh.Mwinyi, Mh. A. Karume, rais wa Zanzibar Dr. Shein, Balozi Seif na Maalim Seif, zinasema chama cha Mapinduzi Zanzibar kimekubali kuachia madaraka.
"Kilichobaki ni kustahimili kushirikiana na CUF kuunda serikali ya umoja wa kitaifa" alisema mmoja wa wawakilishi kutoka CCM.
Habari zaidi kutoka CCM Lumumba zinasema "hatuwezi kuendelea kupigania kitu ambacho kimeshatutoka. Haya tuache tusonge mbele, kwani dunia nzima inatushangaa."
Umefutwa kwa kutumia sheria ipi ya uchaguzi au kwa sheria ya magazeti.Nafikiri kwa mujibu wa gazeti la serikali, tunachosubiri sasa hivi ni kutangazwa kwa tarehe ya uchaguzi tu kwa vile kikatiba tayari uchaguzi umeshafutwa rasmi.
Habari yako inapingana na habari iliyopo kwenye gazeti la serikali,acha uongo lete habari za kueleweka JF inaheshimika zaidi ya vyombo vyote vya habari unavovijua wewe.
Wacha utani we. Umeshasahau ya Bi Asha Bakari kwenay BMK? "Hatuitoi, hatuitoi, hatuitoiiii. Ilipatikana kwa bunduki na hatuwezi kuitoa kwa karatasi" Hiyo ndo sera ya CCM!!
Walisema wenyewe wajuvi, nchi iliyopatikana kwa mapinduzi haiachiwi kwa karatasi!!!!Habari,
Ninazoendelea kuvuja kutoka ndani ya kikao kilichoketi Jumatatu hii na kuhusisha marais wastaafu Mh.Mwinyi, Mh. A. Karume, rais wa Zanzibar Dr. Shein, Balozi Seif na Maalim Seif, zinasema chama cha Mapinduzi Zanzibar kimekubali kuachia madaraka.
"Kilichobaki ni kustahimili kushirikiana na CUF kuunda serikali ya umoja wa kitaifa" alisema mmoja wa wawakilishi kutoka CCM.
Habari zaidi kutoka CCM Lumumba zinasema "hatuwezi kuendelea kupigania kitu ambacho kimeshatutoka. Haya tuache tusonge mbele, kwani dunia nzima inatushangaa."
Habari yako inapingana na habari iliyopo kwenye gazeti la serikali,acha uongo lete habari za kueleweka JF inaheshimika zaidi ya vyombo vyote vya habari unavovijua wewe.
Ukiendekeza woga wa kijinga huwezi pata maendeleo kamwe.tumuhesabie siku huyo uzushi wake sasa hivi ataungana na wenzie
Habari,
Ninazoendelea kuvuja kutoka ndani ya kikao kilichoketi Jumatatu hii na kuhusisha marais wastaafu Mh.Mwinyi, Mh. A. Karume, rais wa Zanzibar Dr. Shein, Balozi Seif na Maalim Seif, zinasema chama cha Mapinduzi Zanzibar kimekubali kuachia madaraka.
"Kilichobaki ni kustahimili kushirikiana na CUF kuunda serikali ya umoja wa kitaifa" alisema mmoja wa wawakilishi kutoka CCM.
Habari zaidi kutoka CCM Lumumba zinasema "hatuwezi kuendelea kupigania kitu ambacho kimeshatutoka. Haya tuache tusonge mbele, kwani dunia nzima inatushangaa."
Hawezi kukubali kuufyata ..Wacha utani we. Umeshasahau ya Bi Asha Bakari kwenay BMK? "Hatuitoi, hatuitoi, hatuitoiiii. Ilipatikana kwa bunduki na hatuwezi kuitoa kwa karatasi" Hiyo ndo sera ya CCM!!
Kwa hiyo unanishauri nika balance story na gazeti la Uhuru?Kumbe gazeti la Mawio, , , , hili gazeti inabidi uwenalo makini sana siku hizi lina habari za udaku. Changanyeni na zakwenu pia mtafute ulinganifu kutoka vyanzo vingine vya habari.