Ccm imemteua ndugu khamisi Dello kuwa mgombea nafasi ya udiwani kata hiyo kazi hiii imefanywa na halmashaur ya mkoa
Kampeni zinazinduliwa tar 15:9:2014
hapo kwenye blue sijaelewa mkuu, hebu thibitisha
Thubutuu!Huko ataenda kila kiongozi kuanzia mbowe,slaa,Lena,lisu,mawazo na kila unaemjua ana ushawishi!...
....Hata tukisimamisha jiwe litapita!!!!
Naamini Huyu ndio DIWANI MTEULE wa Kata ya Sombetini.
Tunashukuru kwa taarifa ila tarehe ipo sahihi kweli?huyu kalazimishwa au nihiyari yake mwenyewe? ukiweza tueleze kwa ufupi wasifu wakeCcm imemteua ndugu khamisi Dello kuwa mgombea nafasi ya udiwani kata hiyo kazi hiii imefanywa na halmashaur ya mkoa
Kampeni zinazinduliwa tar 15:9:2014
Thubutuu!Huko ataenda kila kiongozi kuanzia mbowe,slaa,Lena,lisu,mawazo na kila unaemjua ana ushawishi!
Mawazo lema hantaki Arusha alimchonganisha alipo kula pesa za m4c kujengea ghorofa njiro
Ccm waendelee tu na kapeni zao za giza to giza ili kuhalalisha matumizi ya fedha ila kata hyo inakwenda cdm,natamani kamanda mawazo ndiyo apewe nafasi ya kupeperusha bendera ya chadema ndani ya kata yake ya zamani japo we need him huko aliko now maana kazi anayoifanya kanda ya ziwa ni kubwa zaidi ya kazi ya udiwani