Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Makamba amesema chama chake hakistahili kutupiwa lawama kutokana na matokeo ya uchaguzi wa meya wa Arusha, kwani mchakato mzima wa uchaguzi huo ulisimamiwa na msimamizi ambaye ni mkurugenzi wa jiji la Arusha ambaye anaweza kujibu maswali yote yanayohusiana na mkanganyiko wa uchaguzi huo na si CCM.