CCM yaiga mikakati ya CHADEMA

CCM yaiga mikakati ya CHADEMA

Lituye

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
1,864
Reaction score
5,697
Kwa uhakika kabisa sasa Chadema inaonekana kutawala na kuongoza hali ya kisiasa hapa nchini hadi kufikia chama tawala kuomba poo kwa kutumia majeshi ya ulinzi na sasa imeamua wazi waige kila kitu toka Chadema.

Mtakumbuka hivi karibuni Kiongozi na mwenyekiti Makini kabisa Wa Chadema kiboko ya Mafisadi aka kamanda Wa Anga au Bingwa wa Gia za Angani alitangaza kuwa chama kitaanzisha mfumo Wa kadi za kielectronic ili kujua idadi ya wanachama na kusaidia kukusanya mapato kwa uhakika.

Leo CCM nao ktk kikao chao wametangaza kuwa na wao wataanzisha mfumo Wa kadi za kielectronic Kama chadema jamabo ambalo wanaiga kubadili gia Ardhini na huenda ccm wakapotezana ktk mtumbwi walio panda.

Kijana Mbowe amekuwa mbunifu jasiri na mwenye msimamo pia ni MTU mwenye maono ya mbali jambo ambalo amefanikiwa kuhimili na kutawala siasa za hapa nchini hadi kufikia chama tawala kuanza kuiga.

Hivi karibuni Mh. Mbowe alitangaza kuanza kwa opelesheni KATA FUNUA nchi nzima kuhamasisha Utawala wa kidemokrasia na elimu ya uraia.

Kwa sasa yupo katika ziara ya kikazi huko ULAYA na ujumbe wake tunategemea atarudi na mambo mataamu zaidi sisiemu wazee Wa kuiga wasubirie kijana msomi Mbowe ataendelea kuwapa darasa kwa weredi mkubwa ktk siasa.
 
Form Six za ngazingazi wakaiga sasa electronic cards za wanachama..... Hakuna wabunifu upande wenu... Arrgh
 
CCM kuiga ni kawaida sana, hata Operesheni ukuta waliiga wakaviandamanisha vyombo vya dola mwezi mzima
 
Kwa ccm mi nakataa mana itakua ngumu most ya wanachama wake ni fake kura za ndani itakua ngumu kufanya ujanja mana vile vikadi vyao vilikua cheap kutengeneza sasa itakua ngumu sana kama unabisha subiri uone majaribio serikali za mitaa
 
Hiii taarifa imerushwa kwenye vyombo vya habari leo nimebaki kushangaa ...huko nazani kumejaa vi..laza hamna ubunifu ...shame..
 
Pamoja na kuuza chama kwa mafisadi bado unampigia debe Mbowe??


Bila shaka we ni mchepuko wake si bure
 
Una uhakika CCM ndo wameiga? Kwa taarifa yako, mbowe aliinyaka akairusha mapema hewani kufanya timing kwa vile hakuhitaji vikao viridhie. Kudhihirisha kuwa lile wazo halikuwa lake, ameshindwa hata kuanza kulitekeleza licha ya kulitangaza kitambo.
 
Kwa uhakika kabisa sasa Chadema inaonekana kutawala na kuongoza hali ya kisiasa hapa nchini hadi kufikia chama tawala kuomba poo kwa kutumia majeshi ya ulinzi na sasa imeamua wazi waige kila kitu toka Chadema.

Mtakumbuka hivi karibuni Kiongozi na mwenyekiti Makini kabisa Wa Chadema kiboko ya Mafisadi aka kamanda Wa Anga au Bingwa wa Gia za Angani alitangaza kuwa chama kitaanzisha mfumo Wa kadi za kielectronic ili kujua idadi ya wanachama na kusaidia kukusanya mapato kwa uhakika.

Leo CCM nao ktk kikao chao wametangaza kuwa na wao wataanzisha mfumo Wa kadi za kielectronic Kama chadema jamabo ambalo wanaiga kubadili gia Ardhini na huenda ccm wakapotezana ktk mtumbwi walio panda.

Kijana Mbowe amekuwa mbunifu jasiri na mwenye msimamo pia ni MTU mwenye maono ya mbali jambo ambalo amefanikiwa kuhimili na kutawala siasa za hapa nchini hadi kufikia chama tawala kuanza kuiga.

Hivi karibuni Mh. Mbowe alitangaza kuanza kwa opelesheni KATA FUNUA nchi nzima kuhamasisha Utawala wa kidemokrasia na elimu ya uraia.

Kwa sasa yupo katika ziara ya kikazi huko ULAYA na ujumbe wake tunategemea atarudi na mambo mataamu zaidi sisiemu wazee Wa kuiga wasubirie kijana msomi Mbowe ataendelea kuwapa darasa kwa weredi mkubwa ktk siasa.

PhD holder anadesa kwa form 6 leaver.

kweli ccm ni chama cha vila.za.

pamoja na maprofesa na madokta wote walionao CCM lkn hakuna ubunifu
 
Kwa uhakika kabisa sasa Chadema inaonekana kutawala na kuongoza hali ya kisiasa hapa nchini hadi kufikia chama tawala kuomba poo kwa kutumia majeshi ya ulinzi na sasa imeamua wazi waige kila kitu toka Chadema.

Mtakumbuka hivi karibuni Kiongozi na mwenyekiti Makini kabisa Wa Chadema kiboko ya Mafisadi aka kamanda Wa Anga au Bingwa wa Gia za Angani alitangaza kuwa chama kitaanzisha mfumo Wa kadi za kielectronic ili kujua idadi ya wanachama na kusaidia kukusanya mapato kwa uhakika.

Leo CCM nao ktk kikao chao wametangaza kuwa na wao wataanzisha mfumo Wa kadi za kielectronic Kama chadema jamabo ambalo wanaiga kubadili gia Ardhini na huenda ccm wakapotezana ktk mtumbwi walio panda.

Kijana Mbowe amekuwa mbunifu jasiri na mwenye msimamo pia ni MTU mwenye maono ya mbali jambo ambalo amefanikiwa kuhimili na kutawala siasa za hapa nchini hadi kufikia chama tawala kuanza kuiga.

Hivi karibuni Mh. Mbowe alitangaza kuanza kwa opelesheni KATA FUNUA nchi nzima kuhamasisha Utawala wa kidemokrasia na elimu ya uraia.

Kwa sasa yupo katika ziara ya kikazi huko ULAYA na ujumbe wake tunategemea atarudi na mambo mataamu zaidi sisiemu wazee Wa kuiga wasubirie kijana msomi Mbowe ataendelea kuwapa darasa kwa weredi mkubwa ktk siasa.
Kama unaamini kwamba hao ccm ndo wanaiga, pia kwann usisema pia kwamba CHADEMA wao wameiga wapi, kwa hiyo unatuaminisha kwamba vitambulisho vya NIDA na hivi vya kupigia kula vyote wameiga kutoka CDM sio, ebu tujaribu kuw na utulivu wa akili kwa nyakati fulani, bro hii dunia ni kijiji kimoja hayo uloyaandika yanaonyesha jinsi uelewa wako ulivo.
 
Una uhakika CCM ndo wameiga? Kwa taarifa yako, mbowe aliinyaka akairusha mapema hewani kufanya timing kwa vile hakuhitaji vikao viridhie. Kudhihirisha kuwa lile wazo halikuwa lake, ameshindwa hata kuanza kulitekeleza licha ya kulitangaza kitambo.
M4U =magufuli for you
hii nayo vipi?
 
CCM huwa hawakurupuki,ukiona jambo limetangazwa leo,ujue sekretarieti imelifanyia kazi si chini ya miezi sita
Mbowe kanusa habari hizo akakurupuka kutangaza,hakuna vikao wala utafiti,ili tu ccm wakitangaza ionekane wameiga chadema kana kwamba chadema ndio walioanzisha kadi za electroniki duniani
 
HATA WANACHAMA WA SIMBA SC WANAKADI ZA ELECTRONIC- CHADEMA WAMEIGA SIMBA SC
 
Ha ha haaa,sasa akina lizaboni ndio think tank wao unategemea nini?
 
Una uhakika CCM ndo wameiga? Kwa taarifa yako, mbowe aliinyaka akairusha mapema hewani kufanya timing kwa vile hakuhitaji vikao viridhie. Kudhihirisha kuwa lile wazo halikuwa lake, ameshindwa hata kuanza kulitekeleza licha ya kulitangaza kitambo.
Nlijua tu atatokea mmoja kama wewe atakayesema kama ulivyosema!
Ccm ni kama kenge, akimuona mamba basi na yeye anaunga!
Vijana wa Lumumba ni vichwa maji, ubunifu zero, kijana mmoja kutoka cdm ni sawa na vijana 1,000,000 wa Lumumba!
 
CCM kuiga ni kawaida sana, hata Operesheni ukuta waliiga wakaviandamanisha vyombo vya dola mwezi mzima
Mi.nakumbuka ya M4C
Kwa uhakika kabisa sasa Chadema inaonekana kutawala na kuongoza hali ya kisiasa hapa nchini hadi kufikia chama tawala kuomba poo kwa kutumia majeshi ya ulinzi na sasa imeamua wazi waige kila kitu toka Chadema.

Mtakumbuka hivi karibuni Kiongozi na mwenyekiti Makini kabisa Wa Chadema kiboko ya Mafisadi aka kamanda Wa Anga au Bingwa wa Gia za Angani alitangaza kuwa chama kitaanzisha mfumo Wa kadi za kielectronic ili kujua idadi ya wanachama na kusaidia kukusanya mapato kwa uhakika.

Leo CCM nao ktk kikao chao wametangaza kuwa na wao wataanzisha mfumo Wa kadi za kielectronic Kama chadema jamabo ambalo wanaiga kubadili gia Ardhini na huenda ccm wakapotezana ktk mtumbwi walio panda.

Kijana Mbowe amekuwa mbunifu jasiri na mwenye msimamo pia ni MTU mwenye maono ya mbali jambo ambalo amefanikiwa kuhimili na kutawala siasa za hapa nchini hadi kufikia chama tawala kuanza kuiga.

Hivi karibuni Mh. Mbowe alitangaza kuanza kwa opelesheni KATA FUNUA nchi nzima kuhamasisha Utawala wa kidemokrasia na elimu ya uraia.

Kwa sasa yupo katika ziara ya kikazi huko ULAYA na ujumbe wake tunategemea atarudi na mambo mataamu zaidi sisiemu wazee Wa kuiga wasubirie kijana msomi Mbowe ataendelea kuwapa darasa kwa weredi mkubwa ktk siasa.
 
Kama unaamini kwamba hao ccm ndo wanaiga, pia kwann usisema pia kwamba CHADEMA wao wameiga wapi, kwa hiyo unatuaminisha kwamba vitambulisho vya NIDA na hivi vya kupigia kula vyote wameiga kutoka CDM sio, ebu tujaribu kuw na utulivu wa akili kwa nyakati fulani, bro hii dunia ni kijiji kimoja hayo uloyaandika yanaonyesha jinsi uelewa wako ulivo.
CCM wamekubuhu kwa kupiga chabo darasani, hata M4C mlisema ni Magufuri for change kwahiyo ushahidi tunao ninyi ni mwendo wa kuiga tuu
 
Back
Top Bottom