Itakuwa ni aibu kwa chadema kupoteza jimbo la karatu kama walivyopoteza jimbo la hai pale mbowe alipogombea urais kwani hii inaonesha hata nyumbani kwako hukubaliki. Kwa sababu slaa hatapata urais bora tu jimbo la karatu libaki chadema ili kujenga demokrasia. All the best wanakaratu kuonesha uzalendo kwa kurudisha uwakilishi wa chadema bungeni kutoka kwenu.