Dada Makini
Member
- Aug 27, 2010
- 28
- 52
Baada ya aliyekuwa Mbunge wa CHADEMA Jimbo la Karatu Dr. W. Slaa kuchukua fomu za kugombea urais wanachama wa CCM Wilaya ya Karatu walifurahi sana wakijua jimbo hili litarudi mikononi mwao hasa baada ya kupita kimya kirefu kabla ya CHADEMA hawajamtangaza atakaye chukua nafasi ya Dr. Slaa.
Baada ya CHADEMA kumtangaza mgombea wake ambaye ni Ndugu Israel Yohana Natse CCM wameanza kuhaha kwani wananchi wengi wa Karatu wamempokea na kumkubali kiasi ambacho hawakutarajia hasa kutokana na mapokezi makubwa sana aliyoyapata wakati alipochukua na kurudisha fomu za kugombea Ubunge kwa Jimbo hili.
KARATU CCM HAINA NAFASI
Baada ya CHADEMA kumtangaza mgombea wake ambaye ni Ndugu Israel Yohana Natse CCM wameanza kuhaha kwani wananchi wengi wa Karatu wamempokea na kumkubali kiasi ambacho hawakutarajia hasa kutokana na mapokezi makubwa sana aliyoyapata wakati alipochukua na kurudisha fomu za kugombea Ubunge kwa Jimbo hili.
KARATU CCM HAINA NAFASI