Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,110
- 5,010
Kumbe na wewe ni mwanachama wa CCM?Let us act smart tunaojua thinking capacity ya chama chetu tunaona kama tunadhalllilika kwa stori zinazoendelea mtaani
Tulizani itachukua muda mrefu kuona mgawanyiko wa kisiasa ndani ya CCM ila sasa hali si shwari.
Wazee walipoambiwa wakae kimya wameamua kukaa kimya kuanzia juu hadi kwenye mikoa. Vijana walipoambiwa chama ni mali ya familia fulani flani nao wameelewa wameamua kuendelea na maisha mengine
Tumeona kanda ya ziwa zimetumika mbinu zote kuwavuta watu imeshindikana, boda boda wamegoma, wafanyabishara wamegoma na wazee wa chama wamegoma kujitokeza barabarani. Imelazimu tufunge shule tupate japo wanafunzi
Vyombo vya habari vimelipwa fedha si haba kuweka propaganda , waliotangulia hakukuwa na fedha za propaganda sasa zimepatikana. Hii yote itoshe kusema misingi ya chama chetu inazidi kutikiswa. Kama tunaweza kutegemea nguvu ya vyombo vya habari kufanya siasa wakati hao wapinzani wetu wao wanatumia nguvu ya umma hatuoni kama tumepotoka?
Mwisho, kuna dharau inaendelea na inafanywa na walioshiba dhidi ya wasioshiba. Kama viongozi wote watasubiri maelekezo ya mtu mmoja tunategemea jamii itafakari vipi? Kwamba mawaziri wameshindwa kufanya kazi hadi wakumbushwe ndipo wafanye?
Mwisho wananchi wanadanganywa, hakuna miradi ya maendeleo isiyo na bajeti. Tumeona tukiambiwa jenga stendi miezi minne, jenga barabara nne, sijui jenga nini lakini fedha za kufanya haya hakuna kwenye bajeti kuu ya nchi. Mawaziri wanaosema tutajenga fedha watatoa wapi?
Chama makini kinapaswa kufanya siasa za kimkakati siyo kinachoendelea hivi sasa. Ukimdhalilisha waziri kwamba miaka yote alikuwa amekaa bila kazi siyo jambo jema kisiasa.
Dunia imebadilika sasa, kubadili njia za usafiri kuvutia wananchi siyo jambo la kufanya karne hizi kwa sababu ukweli ni kwamba hakuna kiongozi anatumia pikipiki, bajaji, punda, ngamia ,lori nk. Viongozi wote maisha yao ni V8. Je unatembelea bajaji au lori kuonyesha nini? Kwanza Lori siyo chombo cha usafiri.
Let us act smart tunaojua thinking capacity ya chama chetu tunaona kama tunadhalllilika kwa stori zinazoendelea mtaani . One man show siyo issue tena
napend kuwajua hao unaowaita "WENZETU"tufanye mambo kama wanavyofanya wenzetu kwenye majukwaa ya siasa
badala ya kuandaa mazingira ya wizi wa kura kwa wrong doing za watu wachache wasiotaka kujifunza
Nchi ngumu sana hii,eti leo BASHITE MAKALIO MAKUBWA zero brain ndio anatoa maagizo kwa Mawaziri sijui fanya hiki,nakupa siku 10 kamilisha hiki,khaaaLisu tumekusikia umetoka kufanya kiki ya Kuonana na Madaktari
Kama sio mbunifu lazima upewe amri. Sasa amri itakapotokea Ni swala jingine Ila tu elewa NATURE ARBHORS A VACUUMNchi ngumu sana hii,eti leo BASHITE MAKALIO MAKUBWA zero brain ndio anatoa maagizo kwa Mawaziri sijui fanya hiki,nakupa siku 10 kamilisha hiki,khaaa
Bashite mtoto wa baba karudi kwa style nyingine. Si waziri mkuu wala mawaziri wote hakuna anayejua kitu. Wamuulize mzee Waryoba.Tulizani itachukua muda mrefu kuona mgawanyiko wa kisiasa ndani ya CCM ila sasa hali si shwari.
Wazee walipoambiwa wakae kimya wameamua kukaa kimya kuanzia juu hadi kwenye mikoa. Vijana walipoambiwa chama ni mali ya familia fulani flani nao wameelewa wameamua kuendelea na maisha mengine
Tumeona kanda ya ziwa zimetumika mbinu zote kuwavuta watu imeshindikana, boda boda wamegoma, wafanyabishara wamegoma na wazee wa chama wamegoma kujitokeza barabarani. Imelazimu tufunge shule tupate japo wanafunzi
Vyombo vya habari vimelipwa fedha si haba kuweka propaganda , waliotangulia hakukuwa na fedha za propaganda sasa zimepatikana. Hii yote itoshe kusema misingi ya chama chetu inazidi kutikiswa. Kama tunaweza kutegemea nguvu ya vyombo vya habari kufanya siasa wakati hao wapinzani wetu wao wanatumia nguvu ya umma hatuoni kama tumepotoka?
Mwisho, kuna dharau inaendelea na inafanywa na walioshiba dhidi ya wasioshiba. Kama viongozi wote watasubiri maelekezo ya mtu mmoja tunategemea jamii itafakari vipi? Kwamba mawaziri wameshindwa kufanya kazi hadi wakumbushwe ndipo wafanye?
Mwisho wananchi wanadanganywa, hakuna miradi ya maendeleo isiyo na bajeti. Tumeona tukiambiwa jenga stendi miezi minne, jenga barabara nne, sijui jenga nini lakini fedha za kufanya haya hakuna kwenye bajeti kuu ya nchi. Mawaziri wanaosema tutajenga fedha watatoa wapi?
Chama makini kinapaswa kufanya siasa za kimkakati siyo kinachoendelea hivi sasa. Ukimdhalilisha waziri kwamba miaka yote alikuwa amekaa bila kazi siyo jambo jema kisiasa.
Dunia imebadilika sasa, kubadili njia za usafiri kuvutia wananchi siyo jambo la kufanya karne hizi kwa sababu ukweli ni kwamba hakuna kiongozi anatumia pikipiki, bajaji, punda, ngamia ,lori nk. Viongozi wote maisha yao ni V8. Je unatembelea bajaji au lori kuonyesha nini? Kwanza Lori siyo chombo cha usafiri.
Let us act smart tunaojua thinking capacity ya chama chetu tunaona kama tunadhalllilika kwa stori zinazoendelea mtaani . One man show siyo issue tena tufanye mambo kama wanavyofanya wenzetu kwenye majukwaa ya siasa badala ya kuandaa mazingira ya wizi wa kura kwa wrong doing za watu wachache wasiotaka kujifunza
Mie nadhani ni muhimu alieichoka CCM atumie haki yake ya msingi kujiunga na chama atakocho pata pumziko ....Tulizani itachukua muda mrefu kuona mgawanyiko wa kisiasa ndani ya CCM ila sasa hali si shwari.
Wazee walipoambiwa wakae kimya wameamua kukaa kimya kuanzia juu hadi kwenye mikoa. Vijana walipoambiwa chama ni mali ya familia fulani flani nao wameelewa wameamua kuendelea na maisha mengine
Tumeona kanda ya ziwa zimetumika mbinu zote kuwavuta watu imeshindikana, boda boda wamegoma, wafanyabishara wamegoma na wazee wa chama wamegoma kujitokeza barabarani. Imelazimu tufunge shule tupate japo wanafunzi
Vyombo vya habari vimelipwa fedha si haba kuweka propaganda , waliotangulia hakukuwa na fedha za propaganda sasa zimepatikana. Hii yote itoshe kusema misingi ya chama chetu inazidi kutikiswa. Kama tunaweza kutegemea nguvu ya vyombo vya habari kufanya siasa wakati hao wapinzani wetu wao wanatumia nguvu ya umma hatuoni kama tumepotoka?
Mwisho, kuna dharau inaendelea na inafanywa na walioshiba dhidi ya wasioshiba. Kama viongozi wote watasubiri maelekezo ya mtu mmoja tunategemea jamii itafakari vipi? Kwamba mawaziri wameshindwa kufanya kazi hadi wakumbushwe ndipo wafanye?
Mwisho wananchi wanadanganywa, hakuna miradi ya maendeleo isiyo na bajeti. Tumeona tukiambiwa jenga stendi miezi minne, jenga barabara nne, sijui jenga nini lakini fedha za kufanya haya hakuna kwenye bajeti kuu ya nchi. Mawaziri wanaosema tutajenga fedha watatoa wapi?
Chama makini kinapaswa kufanya siasa za kimkakati siyo kinachoendelea hivi sasa. Ukimdhalilisha waziri kwamba miaka yote alikuwa amekaa bila kazi siyo jambo jema kisiasa.
Dunia imebadilika sasa, kubadili njia za usafiri kuvutia wananchi siyo jambo la kufanya karne hizi kwa sababu ukweli ni kwamba hakuna kiongozi anatumia pikipiki, bajaji, punda, ngamia ,lori nk. Viongozi wote maisha yao ni V8. Je unatembelea bajaji au lori kuonyesha nini? Kwanza Lori siyo chombo cha usafiri.
Let us act smart tunaojua thinking capacity ya chama chetu tunaona kama tunadhalllilika kwa stori zinazoendelea mtaani . One man show siyo issue tena tufanye mambo kama wanavyofanya wenzetu kwenye majukwaa ya siasa badala ya kuandaa mazingira ya wizi wa kura kwa wrong doing za watu wachache wasiotaka kujifunza
Tulia Makonda afanye kazi,tena anatakiwa apewe nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM kabisa.Wazee gani unaowazungumzia,vijana unganeni na Makonda CCM itoke mikononi mwa Wazee wezi ambao wamejimilikisha nchi.Tulizani itachukua muda mrefu kuona mgawanyiko wa kisiasa ndani ya CCM ila sasa hali si shwari.
Wazee walipoambiwa wakae kimya wameamua kukaa kimya kuanzia juu hadi kwenye mikoa. Vijana walipoambiwa chama ni mali ya familia fulani flani nao wameelewa wameamua kuendelea na maisha mengine
Tumeona kanda ya ziwa zimetumika mbinu zote kuwavuta watu imeshindikana, boda boda wamegoma, wafanyabishara wamegoma na wazee wa chama wamegoma kujitokeza barabarani. Imelazimu tufunge shule tupate japo wanafunzi
Vyombo vya habari vimelipwa fedha si haba kuweka propaganda , waliotangulia hakukuwa na fedha za propaganda sasa zimepatikana. Hii yote itoshe kusema misingi ya chama chetu inazidi kutikiswa. Kama tunaweza kutegemea nguvu ya vyombo vya habari kufanya siasa wakati hao wapinzani wetu wao wanatumia nguvu ya umma hatuoni kama tumepotoka?
Mwisho, kuna dharau inaendelea na inafanywa na walioshiba dhidi ya wasioshiba. Kama viongozi wote watasubiri maelekezo ya mtu mmoja tunategemea jamii itafakari vipi? Kwamba mawaziri wameshindwa kufanya kazi hadi wakumbushwe ndipo wafanye?
Mwisho wananchi wanadanganywa, hakuna miradi ya maendeleo isiyo na bajeti. Tumeona tukiambiwa jenga stendi miezi minne, jenga barabara nne, sijui jenga nini lakini fedha za kufanya haya hakuna kwenye bajeti kuu ya nchi. Mawaziri wanaosema tutajenga fedha watatoa wapi?
Chama makini kinapaswa kufanya siasa za kimkakati siyo kinachoendelea hivi sasa. Ukimdhalilisha waziri kwamba miaka yote alikuwa amekaa bila kazi siyo jambo jema kisiasa.
Dunia imebadilika sasa, kubadili njia za usafiri kuvutia wananchi siyo jambo la kufanya karne hizi kwa sababu ukweli ni kwamba hakuna kiongozi anatumia pikipiki, bajaji, punda, ngamia ,lori nk. Viongozi wote maisha yao ni V8. Je unatembelea bajaji au lori kuonyesha nini? Kwanza Lori siyo chombo cha usafiri.
Let us act smart tunaojua thinking capacity ya chama chetu tunaona kama tunadhalllilika kwa stori zinazoendelea mtaani . One man show siyo issue tena tufanye mambo kama wanavyofanya wenzetu kwenye majukwaa ya siasa badala ya kuandaa mazingira ya wizi wa kura kwa wrong doing za watu wachache wasiotaka kujifunza
UJinga mtu,sijasomaTulizani itachukua muda mrefu kuona mgawanyiko wa kisiasa ndani ya CCM ila sasa hali si shwari.
Wazee walipoambiwa wakae kimya wameamua kukaa kimya kuanzia juu hadi kwenye mikoa. Vijana walipoambiwa chama ni mali ya familia fulani flani nao wameelewa wameamua kuendelea na maisha mengine.
Tumeona kanda ya ziwa zimetumika mbinu zote kuwavuta watu imeshindikana, boda boda wamegoma, wafanyabishara wamegoma na wazee wa chama wamegoma kujitokeza barabarani. Imelazimu tufunge shule tupate japo wanafunzi.
Vyombo vya habari vimelipwa fedha si haba kuweka propaganda , waliotangulia hakukuwa na fedha za propaganda sasa zimepatikana. Hii yote itoshe kusema misingi ya chama chetu inazidi kutikiswa. Kama tunaweza kutegemea nguvu ya vyombo vya habari kufanya siasa wakati hao wapinzani wetu wao wanatumia nguvu ya umma hatuoni kama tumepotoka?
Mwisho, kuna dharau inaendelea na inafanywa na walioshiba dhidi ya wasioshiba. Kama viongozi wote watasubiri maelekezo ya mtu mmoja tunategemea jamii itafakari vipi? Kwamba mawaziri wameshindwa kufanya kazi hadi wakumbushwe ndipo wafanye?
Mwisho wananchi wanadanganywa, hakuna miradi ya maendeleo isiyo na bajeti. Tumeona tukiambiwa jenga stendi miezi minne, jenga barabara nne, sijui jenga nini lakini fedha za kufanya haya hakuna kwenye bajeti kuu ya nchi. Mawaziri wanaosema tutajenga fedha watatoa wapi?
Chama makini kinapaswa kufanya siasa za kimkakati siyo kinachoendelea hivi sasa. Ukimdhalilisha waziri kwamba miaka yote alikuwa amekaa bila kazi siyo jambo jema kisiasa.
Dunia imebadilika sasa, kubadili njia za usafiri kuvutia wananchi siyo jambo la kufanya karne hizi kwa sababu ukweli ni kwamba hakuna kiongozi anatumia pikipiki, bajaji, punda, ngamia ,lori nk. Viongozi wote maisha yao ni V8. Je, unatembelea bajaji au lori kuonyesha nini? Kwanza Lori siyo chombo cha usafiri.
Let us act smart tunaojua thinking capacity ya chama chetu tunaona kama tunadhalllilika kwa stori zinazoendelea mtaani. One man show siyo issue tena tufanye mambo kama wanavyofanya wenzetu kwenye majukwaa ya siasa badala ya kuandaa mazingira ya wizi wa kura kwa wrong doing za watu wachache wasiotaka kujifunza.
Na hiyo karne kwa CCM imeshafika, mbona hilo liko wazi kabisa?"Kuna Karne itafika kwa wajinga kuwa viongozi na werevu kuwa wafuasi” Shaaban Robert
🤣🤣🤣🤣Nchi ngumu sana hii,eti leo BASHITE MAKALIO MAKUBWA zero brain ndio anatoa maagizo kwa Mawaziri sijui fanya hiki,nakupa siku 10 kamilisha hiki,khaaa