Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 11,570
- 16,017
Mpaka kampeni zinaisha sijasikia wala kuona wapambanaji wa CHADEMA au CUF wakitema cheche zaidi ya kumtetea lowasa siyo fisadi. Yaani taasisi za CHADEMA kama;
Yaani kwa ufupi safari hii ni kampeni kati ya CCM ya Dr Magufuli na CCM B ya Lowassa, halafu kuna wanaoshangilia kusema mabadiliko kwa Lowassa wakati yule mzee ni mwizi na ndiye mitandao yake imeharibu CCM. Zote hizo Escrow ni zake yeye Lowassa.
- Bavicha (imekufa na badala yake kuna vijana wa matumaini wanaoshinda kwenye mitandao kuoindisha ukweli huku wanaoiga hela na wale bavicha kukosa meno kabisa.
- Baraza la wanawake (hili ndiyo kufa kabisa halima mdee kabaki haamini kilichotokea mpaka sasa)
- Makamanda tundu Lisu na akina mnyika wote na akina lema hoi na inawezekana wasirudi bungeni tena maana walisema lowasa fisadi hafai hata kuwa balozi sasa hawasikiki kabisa.
Yaani kwa ufupi safari hii ni kampeni kati ya CCM ya Dr Magufuli na CCM B ya Lowassa, halafu kuna wanaoshangilia kusema mabadiliko kwa Lowassa wakati yule mzee ni mwizi na ndiye mitandao yake imeharibu CCM. Zote hizo Escrow ni zake yeye Lowassa.