Ccm yaendelea kuwatumia walemavu kuomba kura

Ccm yaendelea kuwatumia walemavu kuomba kura

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,511
Reaction score
11,913
Tunaendelea kushuhudia jinsi walemavu wanavyotumiwa na wagombea wa ccm ili kujipatia kura Hasa yule Mpanju.Tunaomba ccm wasitafute kura za hurumaa
 
Hakuna kura za huruma mwaka huu watu wamechafukwa sana ccm ishajifia
 
Watu kama mpangu wako hivyo walivyo kwa kua wako hvyo, nothing happens by chance, kila kitu kilipangwa toka mwanzo,aliepanga alijua kuna watu wasio na akili kama mpanju.
 
Imenisikitisha sana walemavu kutumiwa ktk propaganda chafu za kisiasa.
 
Aisee mnara wa baberi chini mwaka huu. Sumaye kamalizaaa hakuna hofu tenaaa.
 
Jamani Mwachani Mungu Aitwe Mungu, Huyu ndg yetu Kada Wa CCM Anayewakilisha Walemavu...Basi Niseme Ku Mwacheni

Mungu Aitwe Mungu. Angalia Ch.10 Utakubaliana na Mimi.
 
Ndo zenu hizo,mtu akiwa na mtazamo na nyie mnadai anatumika,kapewA pesa na blablah.... mbona hamsemi bodaboda wanavyotumika kwa lowasa
 
Tunaendelea kushuhudia jinsi walemavu wanavyotumiwa na wagombea wa ccm ili kujipatia kura Hasa yule Mpanju.Tunaomba ccm wasitafute kura za hurumaa

BONGOLALA;
Mbinu za ccm zimekwisha kabisa. Hawana tena uwezo baada ya mipango yao kukwama. Wametumia mpaka mafisi kuwavutia watu, Sasa wanawatumia walemavu, wanawekwa barabarani ati ccm waonekane kuwa wana huruma saana. Mbona kina Matonya mliwafurumua kutoka Darisalama? Mbona mnavunjavunja vibanda vyao visichafue mji wenu msafi wa Darisalama?
Fedha hakika ni jogoo. Mpanju anasimama na Magufuli sijui amemuahidi cheo gani. Natamani nimwambie kuwa, akumbuke wengine waliosifu sana ccm lakini leo hawapo tena kwenye chart ya ccm. Hawana huruma hao
 
Nilimuona na msaka ikulu akiiomba camera huku akimshika mlemavu pale mkoani kupitia habari ya saa mbili.
 
Jamani hivi AMONI MPANJU ni kipofu kweli?! Au huwa anafanya action tu?!
 
Back
Top Bottom