CCM yadorola Ngaraselo

CCM yadorola Ngaraselo

CCM yawatangazia mkesha wananchi wa arumeru lakini washindwa kutekeleza ahadi yao kama ilivyo kawaida ya chama hicho.
Hawa jamaa pumbafff kweli. Watu wakeshe wakati kesho ndo kwanza siku ya kwanza ya kazi katika juma!!!!?
Hivi wana akili timmamu kweli hawa!!! Na hiki ndo chama tawala ambacho kinataka kutuletea maendeleo!
 
Hawa jamaa pumbafff kweli. Watu wakeshe wakati kesho ndo kwanza siku ya kwanza ya kazi katika juma!!!!?
Hivi wana akili timmamu kweli hawa!!! Na hiki ndo chama tawala ambacho kinataka kutuletea maendeleo!

Jamani muwasamehe CCM walifikiri huko ni pwani wanako acha kufanya kazi ya kula keshokutwa na kwenda kucheza achimwenengule wawaaa! HUKO NI KAZI TU NO BLAHBLAH!
 
Jamani muwasamehe CCM walifikiri huko ni pwani wanako acha kufanya kazi ya kula keshokutwa na kwenda kucheza achimwenengule wawaaa! HUKO NI KAZI TU NO BLAHBLAH!

CCM waliona wapi wameru wakikata mauno?. wao wamezoea kuchezesha misiki ya wakina komba na wakina kopa wanadhani wameru watayaweza hayo maushenzi.
 
Ilikua mbinu ya mwigulu, angebanduliwa nke wa ntu kabla hakujakucha, hongera washili, nayaamini maneno yenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom