Bahati Joseph
New Member
- Mar 11, 2012
- 4
- 3
CCM yawatangazia mkesha wananchi wa arumeru lakini washindwa kutekeleza ahadi yao kama ilivyo kawaida ya chama hicho.
Hawa jamaa pumbafff kweli. Watu wakeshe wakati kesho ndo kwanza siku ya kwanza ya kazi katika juma!!!!?CCM yawatangazia mkesha wananchi wa arumeru lakini washindwa kutekeleza ahadi yao kama ilivyo kawaida ya chama hicho.
Hawa jamaa pumbafff kweli. Watu wakeshe wakati kesho ndo kwanza siku ya kwanza ya kazi katika juma!!!!?
Hivi wana akili timmamu kweli hawa!!! Na hiki ndo chama tawala ambacho kinataka kutuletea maendeleo!
Jamani muwasamehe CCM walifikiri huko ni pwani wanako acha kufanya kazi ya kula keshokutwa na kwenda kucheza achimwenengule wawaaa! HUKO NI KAZI TU NO BLAHBLAH!