what goes around comes around,dhambi ya ubaguzi waliotaka kuipandikiza chadema inawarudi,mungu endelea kutenda maajabu,wauunguze na moto wako hadi hiyo dhambi ya ubaguzi iishe,long live chadema
Jibu rahisi wote hawa si raia wa Tanzania tena huyu wa mwisho alihusika na udalali wa pori la Loliondo.Wote ni wezi wa fedha na rasiliamali za watanzania