CCM waumbuka Mwanza

kitakule

Senior Member
Joined
Mar 7, 2015
Posts
121
Reaction score
51
Leo tarehe 30/06/2015 katika mahakama ya Wilaya kulikuwa na hukumu ya kesi zilizofunguliwa mahakamani na CCM za kupinga matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika 14 Disemba 2015 ambapo CCM waliangukia pua,leo WAMEUMBUKA ile mbaya baada ya mahakama KUTUPILIA mbali kesi hizo na kuwafanya wenyeviti wa CHADEMA kutangazwa kuwa washindi halali.

Mbaya zaidi ni pale ambapo hata ile mitaa ambayo wao (CCM) walishinda KIBABE nayo matokeo yake yametenguliwa!

Pole sana ambao hamjajitambua na kutambua kuwa CCM mwisho wao umefika! Muda huu sisi tuliojitambua kwa kuchagua CHADEMA katika mtaa wetu wa KILELENI kata ya KITANGIRI tupo tunagonga moja baridi,moja moto na nyama choma tukisherehekea ushindi!
 
Na mbado mwaka huu ni mbaya sana kwa magamba.
 
ongeleni sana nisinge penda hata barozi kutoka ccm.
 
Kazi nzuri lkn sio lahisi kuwatoa hawa jamaa.
 
Kazi nzuri lkn sio lahisi kuwatoa hawa jamaa.

mkuu kanone husiwe mwepesi wa kukata tamaa!mimi,wewe na yule tukiamua kwa pamoja tukapiga KURA na kuikataa ccm,hakika wanang'oka!shida ya watanzania walio wengi wamepewa kipaji cha uwepesi wa kusahau mambo!ona leo hii mtu mzima na akili zake anasimama mbele za watu na kusema heti Lowasa anafaa kuwa RAIS!
 

14 Disemba 2015? Tuliza mzuka kwanza.
 

Agiza na na.......pe ya baridi nakuja kulipa sasa hivi
 
Kitangiri kule kwa Matata? Hajaja na mabaunsa wake hapo mahakamani kufanya fujo? Ila yule mfalme wa nyuki anayemkingia kifua yuko busy kupata signatories hivyo akilianzisha shauri yake?
 
hongereni sana mwanza. uchaguzi wa serikali za mitaa uluiopita ccm ilibebwa sana na vyombo vya dola vinginevyo wangepigwa bibaya sana....
 
chadema ikishinda haki imetendeka. lakini ikiwa kinyume chake haki haijatendeka. wapuuzi sana nyie watu.

 
Piga Kura,Simamia Kura,Mtambue mtangaza Matokeo ya uchaguzi na Ajue mnamtambua na Mnamatarajio atakuwa muaminifu na mzalendo wa kweli kwa wananchi.
hapo Awali,watanzania wengi walikuwa hawapigi kura,na wakipiga kura hawasimamii,matokeo yake tulipata viongozi wasio na uadilifu wala dhamana ya wananchi.
Sasa Shime kila mtanzania Apige kura,Asimamie kura na Amtambue mtangaza matokeo.
Lazima kitaeleweka na tutapata Viongozi Bora
 
chadema ikishinda haki imetendeka. lakini ikiwa kinyume chake haki haijatendeka. wapuuzi sana nyie watu.

Kama wapi vile CHADEMA ililalamika na ilikuwaje hadi ikalalamika? ukishindwa kujibu wewe ndio utakuwa MPUUZI na m....nge
 
14 Disemba 2015? Tuliza mzuka kwanza.

Mkuu kamesema kako kanagonga moja baridi moja moto, hivyo siyo ajabu kwa kaliyoandika hapa maana ni viroba ndo vinaandika siyo kenyewe!!!
 
chadema ikishinda haki imetendeka. lakini ikiwa kinyume chake haki haijatendeka. wapuuzi sana nyie watu.

Sijawahi kuona ushindi wa ccm usio na hila, unajifanya hukusikia goli la mkono alilotangaza Nape.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…