Kwenu WanaA-Town
Sisi wengine tupo nje ya Arusha, lakini tunasuuzika sana kwa yanayotokea Arusha, kama Mkoa tunaona na tunao uhakika kwamba mkoa wa Arusha utakuwa wa kwanza kuwa na wabunge wote wa upinzani kwa kipindi kifupi kijacho ukifuatiwa na Kilimanjaro na halafu Mwanza na shinyanga. Tunawakubali sana makamamanda wetu wanaA-Town kwa uwezo mkubwa wa kupima mambo.
Uwezo Kiongozi unapimwa kwa vile alivyoo jasiri kukabiliana na challenges, Kiongozi wa watu hatarajii urahisi katika kazi yake, Lema ndivyo alivyo, ni Jasiri na msikivu, Habishani pasipo sababu, anatoa hoja zenye nguvu kila anapopata nafasi ya kuongea, kwa kuwa anajua kuwa matatizo ya watu ni yake.
Lema ni Driver sahihi kwa kari analoendesha.
Lema ni mbunge Jasiri, mwenye uwezo mkubwa, anatisha sana akikutana na hawa watawla, wanamuona ni mwiba unaochoma kwa ncha kali inayopenya ndani mno.
Ubunge wake amehifadhiwa kwa muda wa siku tisini kwa vie mafisadi wameona dili sana kufanya chaguzi ndogo ili waendelee kula pesa za umma.
Kila la kheri A-Town
Mbunge wenu yupo pending akingojea kuwaaibisha kwa kishindo.