THE GEEK
Member
- Dec 10, 2010
- 90
- 32
Note this guys.
Hata kama CHADEMA watashinda katika kata ya Kirumba na jimbo la Arumeru Mashariki (ndivyo inavyoelekea).
Matokeo hayo yatageuzwa kwa ubabe, nguvu na wizi
(kama ilivyokuwa Sumbawanga mjini, Segerea etc)
na wagombea wa ccm watashinda sehem zote mbili.
Swali ninalojiuliza, CHADEMA na wananchi wa kawaida,
tutafanya nini baada ya haya kutokea??
Stay tuned!!
Hata kama CHADEMA watashinda katika kata ya Kirumba na jimbo la Arumeru Mashariki (ndivyo inavyoelekea).
Matokeo hayo yatageuzwa kwa ubabe, nguvu na wizi
(kama ilivyokuwa Sumbawanga mjini, Segerea etc)
na wagombea wa ccm watashinda sehem zote mbili.
Swali ninalojiuliza, CHADEMA na wananchi wa kawaida,
tutafanya nini baada ya haya kutokea??
Stay tuned!!