MUSUMIFYCOM
Member
- Nov 28, 2012
- 55
- 28
Taarifa tulizozipata kutoka kwa waandishi wetu wa habari ndani ya Chama Cha Mapinduzi ni kwamba wanachama wake wameanza kushikana uchawi kwa sababu CHADEMA inafanya mikutano kila wiki na kupata watu wengi kupita kiasi,hii imewasababisha CCM kuanza kukimbiana na kurushiana mpira,na mbunge wa jimbo hilo ameahidi kuwa harudi bunge la katiba na kila sku atakua anaongea na wana mara,kuwaeleza matatizo yanayosababishwa na Chama Cha Mapinduzi