CCM waomba "POO" kiaina

Mada ya kijinga kabisa kuwahi kuziona hapa jf
 
Mada ya kijinga kabisa kuwahi kuziona hapa jf


tupe matokeo ya Chalinze leo ..tujue ni yupi anaomba "poo" ..
 
Ccm itaongoza nchi hii milele
Umesema kweli mkuu.Maana ili wadanganyika waamuke na kugundua kuwa matatizo waliyonayo kama vile watoto wao kupata elimu duni,huduma mbovu za afya ikiwa ni pamoja na wamama wajawazito kugalagazwa chini kwenye hospital za umma,barabara mbovu zinazowaua kila siku kwa ajari nk yanasababishwa na ccm ndipo itakuwa mwisho wa ccm
 
CCM wana hila katka jambo hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…