swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
Obama alisema "African countries should establish Strong institutions not strong person.
Ccm wanajaribu kujenga mtu imara atakaefanya kazi katika mfumo mbovu lakini Ukawa wanajenga taasisi imara itakayoongozwa na mtu strong yaani imara.je Magufuri anaweza kubomoa mfumo au je lowasa anaweza kubomoa taasisi?
Mytake:mfumo unaweza kumbomia mtu imara kwa mtazamo wake lakini mtu imara hawezi kuimarish mfumo mbovu.
Ccm wanajaribu kujenga mtu imara atakaefanya kazi katika mfumo mbovu lakini Ukawa wanajenga taasisi imara itakayoongozwa na mtu strong yaani imara.je Magufuri anaweza kubomoa mfumo au je lowasa anaweza kubomoa taasisi?
Mytake:mfumo unaweza kumbomia mtu imara kwa mtazamo wake lakini mtu imara hawezi kuimarish mfumo mbovu.