CCM wametushika pabaya

makamba ni ukoo uleule wa kifisadi. je hayo makamba ameyajua leo? mbona makamba huyuhuyu alitumia nafasi yake ya katibu mkuu wa chama kumbeba mtoto wake january bila kuwa na sifa kule bumbuli? ni huyuhuyu mzee makamba watoto wake wanabebwabebwa tu akiwemo na yule binti ? makamba jana alikuwa anatimiza kazi yake ya kumwombea mtoto wake uwaziri na sio kingine. watanzania hatudanganyiki kamwe....
 
Ukawa mtanyooka sana hamna namna japo mnajifariji.
 

Unaweza kumuozesha mtoto wako kwa jambazi sugu ikiwa unajua kuwa ni jambazi sugu na muuwaji?
 

Napata shida na uwezo wako wa kufikiri najua unatumia mihemko zaidi kuliko kufikirisha ubongo wako kwa kina
 



Ccm itatoka madarakan jua hvyo
 
Kura yangu kwa FISADI Lowasa kwani kuna shida jamani....hao watawapata nyie vifuata upepo ambao mpaka sasa hujaamua kura yako unampa nani
 

Unajifanya mwana UKAWA wakati hujawahi ongea maneno ya ku spport Lowassa au UKAWA kama thread zako zilivyo hapo chini. Acha unafiki.
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/918329-tuko-serious-lowassa-awe-rais.html
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/922171-ingekuwa-marekani-lowassa-keshakosa-urais.html
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/919717-ukawa-dodoma-hampati-kitu.html
 
lowassa ndio rais wetu mwaka huu kama hamtaki mkale malimao kuna kila dalili watu wanataka mabadiliko.
 
Kwani ulikuwa ujuii... Uko nchi ipi.. Na aliyekutuma mwambiee Kenyatta alinyang'anya wananchi ardhi but ni rais wa Ken... Mbona utajii kulazimsha gec iendee kwa wajomba...
 
Napata shida na uwezo wako wa kufikiri najua unatumia mihemko zaidi kuliko kufikirisha ubongo wako kwa kina

Lazima upate shida we mwanamama, mtu upo kwenye siku zako unategemea nn
 
Tatizo hawa nyumbu wao wanamkimbilia tu Lowassa hawajui kua anawatumia kama daraja tu

Ni vema kujifunza kwa waliofanikiwa, watu wananunua mashamba wanazalisha mali nyie mnaiba fedha za kodi ya wananchi mnaenda kutafuna (mf. Escrow, EPA Meremeta .......). Mnauza na kujigawia nyumba za serikali ambazo ni kodi za wananchi wote, huu ni wizi wa mchana. Kwa nini hamchukui ardhi mkalima na kuajiri watanzania masikini wanaokosa ajira katika sekta rasmi mlizofilisi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…