Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,202
- 99,941
- Thread starter
- #21
Muulizeni muone kama atakwepa swali
Tutampata wapi wakati Haonekani kwenye media? Mwenzie ameshafanya interview na TV stations zaidi ya tano ila yeye hajafanya hata moja, ana kazi ya kusema tumwamini hatatuangusha.
Hivi ulisoma makala ya Jenerali Ulimwengu? Kuwa Magufuli alikataa mahojiano na akataka apelekewe Maswali lakini bado hakuyajibu?