Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,202
- 99,941
Wanajamvi namshukuru Mungu kumekucha salama, nimefurahi pia kusikia kuwa Yericko Nyerere ni mzima lakini pia sijawahi kumuona ndugu yangu BAK ambaye kila siku hakukosa kupost kitu chenye maana, nilitamani sana pia kwenye kipindi hiki tumsikie ndugu yetu KAINERUGABA MSEMAKWELI, yupo salama?
Kwa mara nyingi sana tumesikia Wapinzani wakiulizwa utayari wao wa kukubali matokeo endapo yatatoka kinyume na matarajio yao lakini swali kama hili hili hua hawaulizwi CCM as if wao ndio wenye haki ya kushinda na wengine kushinda kwao ni bahati nasibu.
Leo niwaulize Makada wa CCM kwa mwendo huu tunaouona, je kama mambo yatakuja ndivyo sivyo CCM watakubali kushindwa? Je Jk atakua tayari kumkabidhi mikoba Lowasa? Je Jeshi la Polisi ambao kwa sasa wako kila mahali wakikamata vijana wasio hatia, watakua tayari kuwapa ushirikiano UKAWA!? Na kukiri kwao kutumika kwa ahadi za vyeo na nyongeza za mishahara?
Asanteni, safarini Njombe ndani ya Luwinzo.
Kwa mara nyingi sana tumesikia Wapinzani wakiulizwa utayari wao wa kukubali matokeo endapo yatatoka kinyume na matarajio yao lakini swali kama hili hili hua hawaulizwi CCM as if wao ndio wenye haki ya kushinda na wengine kushinda kwao ni bahati nasibu.
Leo niwaulize Makada wa CCM kwa mwendo huu tunaouona, je kama mambo yatakuja ndivyo sivyo CCM watakubali kushindwa? Je Jk atakua tayari kumkabidhi mikoba Lowasa? Je Jeshi la Polisi ambao kwa sasa wako kila mahali wakikamata vijana wasio hatia, watakua tayari kuwapa ushirikiano UKAWA!? Na kukiri kwao kutumika kwa ahadi za vyeo na nyongeza za mishahara?
Asanteni, safarini Njombe ndani ya Luwinzo.
Last edited by a moderator: