jaba jumah
Senior Member
- Sep 24, 2015
- 150
- 50
Katika kile kinachoelezwa kuwa CCM kinazidi kukubalika na kupendwa zaid na watu hali inayozidi kuimarisha ubora wake kwa wapinzani, Maeneo mbali mbali ambayo amekuwa akipita mgombea huyo amelazimika kusimama na kusalmiana na wananchi katika maeneo tofauti tofauti kulinganisha na wapinzani wake ambao bado hawajafikia hata theluthi ya maeneo ambayo Magufuli ameyaoitia huu ni ushindi tosha kwa CCM kutokana na hali ilivyo kwa sasa wapinzani wameshaanza kutoa maneno ambayo yana ashiria kushindwa baada ya kuona moto wa Magufuli si mchezo wameanza kupwaya na kupaniki hali iliyoanza kuonekana hata kupaniki kwao na kutoka nje ya mada,,Hii ndio CCM ambayo inafanya siasa za kisasa na zenye dira kwa jamii