chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
piga kaz kamanda. Ile ofisi ya chadema udom tuliifungua sisi kule kijijini
sawa kamanda inawezekana tunafahamiana pia ila jamvini hapa ni kimya kimya safi sana ni moja kati ya hazina tunayojivunia ila ndo tuko kwa mikakati kujenga yetu kwa kuchangisha watoto wa wakulima hapahapa....tuombeeni shetani wa uharibifu ameshashindwa