MdugeH
Member
- May 25, 2013
- 61
- 23
Kufuatia kitendo cha vyama vya upinzani chini ya mwamvuli wa UKAWA kuungana na kushirikiana pamoja na kutuhumiana huko nyuma kwa mf Mh Mbatia kutuhumiwa kutumika baada ya kuteuliwa na Rais kuwa mbunge wa viti maalum, Leo hii wanakula meza moja basi ni wakati wa Membe, Sitta, Mwakyembe, Magufuli, Makamba, Ngeleja, na Lowasa kuweka kando tofauti zao na kushirikiana kuwakabili vilivyo UKAWA.
My take: Nina fahamu kuna mijitu itatoka povuu sana badala ya kujadili ukweli huu mchungu. Have some pills if in case you feel anxious, it might help you calm down.
My take: Nina fahamu kuna mijitu itatoka povuu sana badala ya kujadili ukweli huu mchungu. Have some pills if in case you feel anxious, it might help you calm down.