CCM taabani dhidi ya nguvu ya umma

CCM taabani dhidi ya nguvu ya umma

Vicent daudi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2012
Posts
354
Reaction score
80
Chama cha mapinduzi kimegeukiwa na wananchi dhidi ya ubabe kwa wananchi wake pale wanapokosa hoja au kuonekana hawana future ya Tanzania ya baadae na wapinzani kuongoza kwa kila hoja na ccm kujikuta kutaka kuzuia ruzuku kwa vyama vya upinzani kutumia polisi kuzuia wapinzani kuzuia tbc kuonesha matukio ya wapinzani kutumia mamluki kuua upinzani kutumia spika kuzima hoja zinazohusu watanzania na kuwanyima wananchi kuona umahiri wa upinzani bungeni wa kuisimamia serikali na Mali ya watanzania. Kama walivyofanikiwa kuiua CUF basi wanajaribu kwa Chadema iliyojidhatiti tangu 1995
 
Tatzo wanapima sumu kwa kuionja kwa ulimi, ona sasa wanavyoaibika. Hadi huruma aiseee.
 
Nguvu ya umma wabunge 24 hebu wacheni matani.
 
Unajina zuri lakini kwa bahati mbaya au nzuri, kichwani hakuna kitu.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mkuu ritz, hao ishirini na nne unaowabeza ndo wamefanya bunge lihairishwe twice kwa uwoga wenu magamba sbb ya hoja zao za msingi. wabunge wa cdm na nccr ni mchele na wote waliobaki ni makapi/pumba tu.
 
mkuu ritz, hao ishirini na nne unaowabeza ndo wamefanya bunge lihairishwe twice kwa uwoga wenu magamba sbb ya hoja zao za msingi. wabunge wa cdm na nccr ni mchele na wote waliobaki ni makapi/pumba tu.
Nipenda hii mkuu, 90% ya wabunge wa magamba ni hasara kwa taifa hili!
 
Nguvu ya umma wabunge 24 hebu wacheni matani.

train inabeba mabehewa zaidi ya 30 ila kichwa chake ni kidogo tu na dreva pia ni mdogo tu,hao sisiem bungeni hata wangekuwa 10000 wabunge watatu tu wa chedema wanatosha kuwatoa kamasi jembamba!
na suburi 2015 ndio mtajitafuta
 
Nipenda hii mkuu, 90% ya wabunge wa magamba ni hasara kwa taifa hili!

Wabunge wa CHADEMA hawana tofauti na jogoo, makelele mengi lakini asubuhi hatoki bandani hadi mwenye nyumba aje kumfungulia mlango.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nguvu ya umma wabunge 24 hebu wacheni matani.
utani gani mkuu? Hao ni wabunge walichaguliwa na wananchi bila RUSHWA tofauti na idadi kubwa ya waajiri wako walionunua ubunge kwa pesa chafu. Kuvuana magamba kumeishia wapi?
 
train inabeba mabehewa zaidi ya 30 ila kichwa chake ni kidogo tu na dreva pia ni mdogo tu,hao sisiem bungeni hata wangekuwa 10000 wabunge watatu tu wa chedema wanatosha kuwatoa kamasi jembamba!
na suburi 2015 ndio mtajitafuta

Treni aibebi inavuta mfano wako wala haufanani.
 
Nguvu ya umma wabunge 24 hebu wacheni matani.

Lakini moto wake si unauona ? Inasemekana Mbunge mmoja wa Cdm ni sawa na Akina William Lukuvi au Abbas Mtemvu kama 50 hivi ! Bila shaka unajua japo zile hesabu mnazohesabia ile posho mnayopewa , linganisha basi hayo Magarasa yenu na wabunge wa CDM .
 
We unachezea KAA LA MOTO?

Chama cha mapinduzi kimegeukiwa na wananchi dhidi ya ubabe kwa wananchi wake pale wanapokosa hoja au kuonekana hawana future ya Tanzania ya baadae na wapinzani kuongoza kwa kila hoja na ccm kujikuta kutaka kuzuia ruzuku kwa vyama vya upinzani kutumia polisi kuzuia wapinzani kuzuia tbc kuonesha matukio ya wapinzani kutumia mamluki kuua upinzani kutumia spika kuzima hoja zinazohusu watanzania na kuwanyima wananchi kuona umahiri wa upinzani bungeni wa kuisimamia serikali na Mali ya watanzania. Kama walivyofanikiwa kuiua CUF basi wanajaribu kwa Chadema iliyojidhatiti tangu 1995
 
usichezee nguvu ya Umma kijana , ishasemekana tangu zamani kwamba nguvu ya wengi ndiyo nguvu ya Mungu !
 
Back
Top Bottom