Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 997
- 2,320
Kutokana na hali ilivyo CCM hawawezi kukubali nchi nzima washinde wao tu..
Kumbuka kuna makubaliano na ACT na Chaumma kuachiwa baadhi ya majimbo ili kuaminisha taasisi na jumuiya za kimataifa kwamba kuna uhuru na demokrasia..
Sasa watafanyaje?
Mtu kama Zito anaweza kuwa potential hivyo ili kumpata ni kumuwekea watu "hovyo" au watu ambao hawana lolote..
Kwahiyo basi kuna baadhi ya majimbo mfano ni hili la baba levo
"LAZIMA" yatolewe sadaka ili
"Wapinzani" wapate baadhi ya majimbo!
Kwa hiyo kwa kuweka sawa rekodi haina maana walioteuliwa WOTE watakua wabunge!
Wengine LAZIMA watolewe sadaka ili
Baadae tuambiwe Chadema walisusa "bure tu" mbona wenzao wamepata!!
Sisiemu wajaaaaaaanja kweli kweli...
Kwa sauti ya bwege
Kumbuka kuna makubaliano na ACT na Chaumma kuachiwa baadhi ya majimbo ili kuaminisha taasisi na jumuiya za kimataifa kwamba kuna uhuru na demokrasia..
Sasa watafanyaje?
Mtu kama Zito anaweza kuwa potential hivyo ili kumpata ni kumuwekea watu "hovyo" au watu ambao hawana lolote..
Kwahiyo basi kuna baadhi ya majimbo mfano ni hili la baba levo
"LAZIMA" yatolewe sadaka ili
"Wapinzani" wapate baadhi ya majimbo!
Kwa hiyo kwa kuweka sawa rekodi haina maana walioteuliwa WOTE watakua wabunge!
Wengine LAZIMA watolewe sadaka ili
Baadae tuambiwe Chadema walisusa "bure tu" mbona wenzao wamepata!!
Sisiemu wajaaaaaaanja kweli kweli...
Kwa sauti ya bwege