Chama cha maccm arusha mjini wameishindwa chadema kwa kila namna matokeo yake wamekuwa wakiigiza kama zekomed wamekuwa wakitumia kila namna kumchafua rais wetu wa arusha mjini mp godbless lema lkni watu wa arusha pamoja na propoganda ya kitoto kufilisika kimawazo kifikra kimtazamo kiwelewa tunampenda mbunge wetu hata mseme nini tunampenda lema tuko tayari kufa nae popote hatutarudi nyuma daima mh lema arusha tunakupenda cna mbunge wetu tuko nyuma yako usiogope wala usivunjike moyo tunakupenda kama kama mtoto mchanga alutan contunua arusha tuko imara hatutishwi na uwoga wa ccm arusha wamebaki kuimba taarabu tunasonga mbele nawasilisha makamanda wangu wapenda haki
unajua dhambi ya kumchafua mtu bila kosa ndio hiyo_yeye kajitia bingwa wa kumchafua ZZK sasa na yeye M/mungu kamuonyesha maumivu wanayoyapata wenzake, atulie tu kama ni kweli au si kweli basi sisi ndo tunajua wananchi.