TANZANIA LEO
Member
- Jun 21, 2013
- 91
- 10
Pamoja na maneno yote,mijadala yote, na kusemwa kama wao ndio chanzo cha mkwamo wa katiba. bado hawa watu hawana nia ya kubadilika. na watu wanaosema UKAWA warudi kwa lipi? usiseme warudi tu bila kuangalia kiini cha mkwamo huo. Wakati wa unafiki umekwisha.
Labda nikupe mifano michache. 1. Kama kuna nia ya dhati. kwanini tume ya mabadiliko ya katiba imefutwa?
2. kwa nini tovuti ya tume imefungwa?
3. Kwa nn? vitabu ya randama vilifichwa?
4. kwa nini CCM inashikilia kujadili mambo yasio kuwepo kwenye rasimu?
5. kwa nini CCM ilibadili msimamo ya upigaji kura bungeni?
JE kuna sababu ya UKAWA kurudi?
Tuache unafiki.
Labda nikupe mifano michache. 1. Kama kuna nia ya dhati. kwanini tume ya mabadiliko ya katiba imefutwa?
2. kwa nini tovuti ya tume imefungwa?
3. Kwa nn? vitabu ya randama vilifichwa?
4. kwa nini CCM inashikilia kujadili mambo yasio kuwepo kwenye rasimu?
5. kwa nini CCM ilibadili msimamo ya upigaji kura bungeni?
JE kuna sababu ya UKAWA kurudi?
Tuache unafiki.