CCM Serikali bora duniani

CCM Serikali bora duniani

dr.malulu

Senior Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
133
Reaction score
60
Ni ccm pekee,makini,imara na inayojali wananchi wake!.

1. Ni serikali pekee yenye uwezo wa kujenga balabala na zikadumu kwa miezi mitatu au mnne,mfano (mwenge tegeta),na kuwa mbovu na isiyopitika kwa dreva mlemavu anaeendesha kwa mkono mmoja.

2. Ni umakini wa ccm tu,inayoweza kujenga shule nzuri ya kupendeza,na kukumbwa na ukosefu wa walimu,madawati,na hata majengo kujaaa nyufa.

3.Ndio wao tu wanaoweza kujenga hospital na hata wasipeleke dawa milele.

4.Hakuna kwingine duniani ambapo waziri anaweza kutamani wananchi wale nyasi ili anunue ndege ya rais,na akawa salama mtaani kwake.

5. Ni serikali hiyo hiyo tu ambayo wananchi wake hasa vijana wamelogwa na mchawi wao kupoteza maisha,hivyo kua na hakili kama za kuku na kwale asietumia mayai yake bila kujua ni tiba.

6. Ni ccm tu na serikali yake,inayoamini watanzania ni wa mwaka 47 ,hata waongozwe na fisadi,au darasa la saba!

7. Hakuna kwingine dunia ambapo serikali imejenga magereza kwa ajili ya masikini tu.wezi wa kuku,vibaka na si kwa wala rushwa,mafisadi !

8. Ndo serikali yenye mali asili nyingi dunian ila ikawa na uchumi mbovu,na hata kuzidiwa na nchi zenye migogoro ya kivita kila wiki.

9.Ni tanzania pekee ambapo professa anaweza kuacha taluma yake kwa cheo,na hata kuamini ndio hata kwa mabaya.

10.Ndo ichi pekee yenye watumishi wauza madawa ya kulevya na kuendelea kutumia kodi za wananchi kuendesha kampany ya matumiz ya madawa.

11. Ndo wao pekee dunian,wenye uwezo kuiba kula za wananchi kwa goli la mkono.

12. Peke yao dunian,wenye roho ngumu ya kuongoza nchi kwa miaka 50 bila maendeleo ata kidogo,na bado wakahis they can.

13.Ndo ccm ambayo viongozi wa serikali yake ,inamiliki maeneo makubwa ya ardhi mara mia ya wannchi wake wa kawaida.

14. Ndo wao pekee wanaotoa ahadi hewa hata kwa wazee kuhusu matibabu bila kuogopa radhi......

15. Naenda kula ,nikiludi naendelea......
 
Mkuu kosa sio la CCM, ni la Watz mil 50 ambao akili zao zimevia na wanatapika na kula matapishi yao. We karne hii ya 21 mtu anakudanganya tena wazi kabisa bila woga na wewe unaingia mkenge, nani ana shida hapo?
 
Mkuu kosa sio la CCM, ni la Watz mil 50 ambao akili zao zimevia na wanatapika na kula matapishi yao. We karne hii ya 21 mtu anakudanganya tena wazi kabisa bila woga na wewe unaingia mkenge, nani ana shida hapo?
andiko lako limenitoa machozi ! hivi haya ndio maisha bora tuliyoahidiwa ?
10413289_443379535821384_8736472890136950428_n.jpeg
attachment-13.jpeg
attachment-1.jpeg
attachment-14.jpeg
attachment-14.jpeg
attachment-13-2.jpg
 
Mhhhh hapa inatisha ila wapo viongozi makini CCM wakapewa nchi wataleta maendeleo makubwa tu.
 
Inayohaidi pasipo kutenda ..CCM ni tatizo sana hapa duniani
 
...naamini huyu jamaa ni fisadi, kama maisha halisi ya mtanzania unayafahamu vilivyo pa si na ushabiki kamwe narudia kamwe huwezi kuipenda ccm...
 
ukimaliza kula nenda kanye then kitandani moja kwa moja kulala. maana kwenye post yako pumba ni 75%
dr.malulu
 
Last edited by a moderator:
Kipi ambacho sio kweli?
rudia kusoma kwenye post yake huyo jamaa. kwa kila bullet yake inakasoro. toka nje ya box ndo uelewe ninachokisema. lakini kama tayari uko bias huwezi kunielewa.
 
rudia kusoma kwenye post yake huyo jamaa. kwa kila bullet yake inakasoro. toka nhe ya box ndo uelewe ninachokisema. lakini kama tayari uko bias huwezi kunielewa.

Shuleni hukusoma fasihi?
 
Some time naijiwa na feelings kuwa maybe ccm wana magical power yani wizi wote ufisadi wote bt bado ccm wanashinda uchaguzi? mh cdhani kama ni akili zetu watanzania au we have been bewitched
 
Nibora kwako na familia yako ujue sio wote wamepungukiwa kama wewe!!!
 
Ni kweli nxiyo serikali pekee duniani ambapo Mahakim wake wanapokea Rushwa na bado wanaendelea kufanya kazi na kusikiliza kesi za waliowapa mshiko.

Ndiyo serikali pekee inayowez kurubuniwa na wawekezaji kwa kupewa shanga na vikoi wakatoa gas,madini,na mafuta buree bila hata kufuata sheria na kanuni ili kupitisha miswada hiyo.

Ndiyo nchi pekee inayochaguliwa Rais na pesa..

Itabidi tukapime maubongo yetu tujue uwezo wetu wa kufikiri na kuchambua mambo.
 
Back
Top Bottom