Mimi sijui ni upungufu wa mawazo fikra au nini haswa?
Au ndo tuseme ni kulizika na hali au nini hasa?
maana nashindwa kuwaelewa mtanzania na watanzania wa aina yako au kwako maisha yamekuwa mepesi kiasi gani kwako?
Stephen Wassira kipindi hicho akiwa waziri katika serikali ya awamu ya nne ilikuwa mwaka 2008~09 kama sijakosea alitamka hadharani tena akaapa kwamba haitafika mwaka 2012 Chadema lazima itakuwa imekufa.
Leo ni mwaka 2018. Najaribu tu kuwaza kwa sauti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.