CCM ni wa ajabu sana

Mkuu huyu mleta mada atakuwa na faili MIREMBE. Anasema ni wajibu wa serikali kuwaletea wananchi maendeleo na hivyo hakuna sabau ya kutamba. Kwa akili ya kawaida sidhani kama kuna mtu anamuelewa anachokisema ni nini

Ukiwa book 7 huwezi kumuelewa, mimi nimemuelewa.

Tiba
 
Tarifa mbovu haina uthibitisho imebeba umbea mtupu bila hata chenga lakini ndiyo kazi mliyopewa bavicha na dj wenu endeleeni.

Hili ndilo tatizo la vilaza kama wewe.Yaani kila anayetoa maoni ya kukosoa mwenendo wa kinchi ni CHADEMA. Unaonekana ukiona CHADEMA viungo vinaachia
 
Tarifa mbovu haina uthibitisho imebeba umbea mtupu bila hata chenga lakini ndiyo kazi mliyopewa bavicha na dj wenu endeleeni.

Kupanga ni kuchagua kwa watu makini. Kipimo cha mtu makini ni jinsi anavyopanga matumizi yake. Wakati bado tunashule za kusomeshea watoto wetu kama hizi

Kisha unapanga kutumia shs Billioni 50 ili mkuu wa nchi aende kutembea nje na kufanya haya.

Ndio maana watu wanajiuliza jee chama kilichopewa dhamana ya kusimamia serikali kweli kinauwezo huo au chenyewe kimejikita kwenye kuburudishana tuu?



Sent from my iPad using JamiiForums
 

Wanaita waandishi wa habari na kuwapatia bahasha ili watangaze kwenye TBC wamefanya hata waandishi wa habari wa TBC kama makatuni wanaripoti vitu visivyo na mshiko mfano mbio za mwenge huku watu tukitaabika na mifoleni barabarni Dar,
Wamejenga barabara chini ya kiwango mwananyamala, kimara hadi mjini dsm (barabara ya morogoro) gari mbili zinashindwa kwenda sambamba yaani ni nyembamba kiasi kwamba huwezi kukimbiza gari zaid ya speed 40, lakini utaona wanavyo msifia magufuri
 
Alafu wanajiona wana akili kweli, kumbe rubbish huku nchi ikiendelea kuteketea kwa udini na ukabila wanaouleta kwa kuendeleza kampeni za kidini, wanapoona ukristo wakiutumia una faida kwao wanautumia na wakiona uislam unafaida kwao wanautumia. Hawa wakupiga vita kama ukoma wanataka kuiangamiza nchi yetu.\

Napenda kuwasihi watanzania nawaombeni 2015 tusifanye makosa, Hawa niwakuondoa jamani hawana faida.
 

Nilitaka kukupa kitufe cha like hakionekani!
 

Chama cha kisanii kinazalisha serikali ya kisanii na viongozi wasanii.
 
Ndiyo maana wameweka katimu chao cha mataahira humu kupinga kila kitu kinachosemwa na wananchi dhidi ya serikali.Wanadhani kila anayeelezea matatizo ya serikali ni Chadema.Lowest Thinking Capacity.Poor CCM.
 
CHADEMA mbona mnaanza kuweweseka? Serikali inafanya maendeleo halafu matumizi sahihi hayaonekani ndiyo umesema nini?

Pumbavu kabisa maendeleo gani hayo?
 
Kujitapa kwa ccm ni sawa baba amnunulie binti yake chupi kesha aite waandishi kutangaza anavyomletea maendeleo....ebo!
 
Mkuu huyu mleta mada atakuwa na faili MIREMBE. Anasema ni wajibu wa serikali kuwaletea wananchi maendeleo na hivyo hakuna sabau ya kutamba. Kwa akili ya kawaida sidhani kama kuna mtu anamuelewa anachokisema ni nini

wewe ulitaka aseme vipi??!! kwamba serikali ya CCM kuwaletea wananchi maendeleo ni fadhila ama zawadi???!!! wewe ni mwenye akili mgando kama chama chako CCM. halafu nikiangalia kwa umakini nakuona wewe wala hakuna unachofaidi kuitetea CCM zaidi ya mchumia tumbo kwa kutupiwa vijisenti vya makombo kutoka kwa viongozi wala nchi wa CCM.
 
ccm ni chama cha wahuni na washenzi wakubwa mimi sina imani nao tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…