Mkuu huyu mleta mada atakuwa na faili MIREMBE. Anasema ni wajibu wa serikali kuwaletea wananchi maendeleo na hivyo hakuna sabau ya kutamba. Kwa akili ya kawaida sidhani kama kuna mtu anamuelewa anachokisema ni nini
Tarifa mbovu haina uthibitisho imebeba umbea mtupu bila hata chenga lakini ndiyo kazi mliyopewa bavicha na dj wenu endeleeni.
Tarifa mbovu haina uthibitisho imebeba umbea mtupu bila hata chenga lakini ndiyo kazi mliyopewa bavicha na dj wenu endeleeni.
Yaani mambo ya kimaendeleo yanayofanywa kwa wananchi wanayaona kama zawadi au fadhila. Siku ya uzinduzi waandishi watajazwa;hotuba za tambo zitatolewa na kadhalika. Mambo ya ajabu kabisa!
Hoja ni hizi. Mosi,kama chama tawala chenye Serikali yenye dhamana zote za mapato ya kiinchi,kuleta maendeleo ni wajibu wao wa lazima. Wananchi wapatiwe maji,umeme,shule,vivuko,barabara,hospitali na huduma nyinginezo kama haki yao na si fadhila.
Pili,hakuna uwiano mzuri kati ya rasilimali tulizonazo kama taifa;pato la taifa na maendeleo yanayopatikana. Wananchi hawaoni matumizi sahihi na ya kimaendeleo ya utajiri wa nchi hii. Hadi leo,baada ya miaka hamsini na mbili ya Uhuru,CCM na serikali yake inazindua shule ya sekondari au kisima halafu wanajitamba!?
Umri wa uhuru hatukupaswa kuzindua visima na shule zakata kwa mbwembwe,uzinduzi wa mbwembwe kwa vitu hivyo ulipaswa ufanyike miaka ya 69,Leo tulipaswa kuzindua viwanda vikubwa vya kutengeneza Magari nk.Ccm yaleo mnazindua hata vijiwe vya kahawa,vijiwe vyakuzibia puncture na car wash.Hakiks ukiwa Ccm hauoni nadhani ni laana
Yaani mambo ya kimaendeleo yanayofanywa kwa wananchi wanayaona kama zawadi au fadhila. Siku ya uzinduzi waandishi watajazwa;hotuba za tambo zitatolewa na kadhalika. Mambo ya ajabu kabisa!
Hoja ni hizi. Mosi,kama chama tawala chenye Serikali yenye dhamana zote za mapato ya kiinchi,kuleta maendeleo ni wajibu wao wa lazima. Wananchi wapatiwe maji,umeme,shule,vivuko,barabara,hospitali na huduma nyinginezo kama haki yao na si fadhila.
Pili,hakuna uwiano mzuri kati ya rasilimali tulizonazo kama taifa;pato la taifa na maendeleo yanayopatikana. Wananchi hawaoni matumizi sahihi na ya kimaendeleo ya utajiri wa nchi hii. Hadi leo,baada ya miaka hamsini na mbili ya Uhuru,CCM na serikali yake inazindua shule ya sekondari au kisima halafu wanajitamba!?
Lazima umwelewe kwa kuwa wewe ni msukule wa ufipaUkiwa book 7 huwezi kumuelewa, mimi nimemuelewa.
Tiba
CHADEMA mbona mnaanza kuweweseka? Serikali inafanya maendeleo halafu matumizi sahihi hayaonekani ndiyo umesema nini?
Mleta mada amevurugwa
Mkuu huyu mleta mada atakuwa na faili MIREMBE. Anasema ni wajibu wa serikali kuwaletea wananchi maendeleo na hivyo hakuna sabau ya kutamba. Kwa akili ya kawaida sidhani kama kuna mtu anamuelewa anachokisema ni nini
Chama cha kisanii kinazalisha serikali ya kisanii na viongozi wasanii.