My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,333
Mtaji wao mkubwa ni idadi kubwa ya Watanzania wajinga, mtu mjinga ni mtu mwenye akili duni iliyochoka hata kifikra, ni mtu hatari ambaye anaweza kufanya lolote ili ashibe tu bila kujali nini kitatokea.
Ni CCM ya kina Mwigulu Nchemba wanaokula mishahara ya mamilioni ya pesa kwa mwezi, ndo wanaowasimanga watanzania maskini kwenye tozo eti kama hawataki wahamie Burundi.
Ndo hawa watu wanaomkufuru Mungu kila siku eti chama chao kitaitawala Tanzania milele yote. Ndo hawa wanaozunguka wakifanya ushirikina kila mwaka kutumia Mwenge, eti Mwenge uchome mafisadi wakati majizi yote Tanzania yapo CCM



.
Taifa bado halina mbele wala nyuma,bora siku ziende.
Ni CCM ya kina Mwigulu Nchemba wanaokula mishahara ya mamilioni ya pesa kwa mwezi, ndo wanaowasimanga watanzania maskini kwenye tozo eti kama hawataki wahamie Burundi.
Ndo hawa watu wanaomkufuru Mungu kila siku eti chama chao kitaitawala Tanzania milele yote. Ndo hawa wanaozunguka wakifanya ushirikina kila mwaka kutumia Mwenge, eti Mwenge uchome mafisadi wakati majizi yote Tanzania yapo CCM



.Taifa bado halina mbele wala nyuma,bora siku ziende.