Kuna watu hapa wana hoja ya udini na uCCM, Kwa mtu anayeelewa maana ya Stockholm sydrome ataelewa nini maana yangu.
wa mtu mwenye macho, mwenye akili timamu hata siku moja hawezi kukaa kimya kutokana na kilichotokea.
Kumbuka EPA....rais alitangaza mwenyewe kuwa wezi waliiba hela
Drug barons ku-bank roll baadhi ya wanasiasa, kama mtakunmbuka kulikuwa na bendi inaitwa TOT ilikuwa inafadhiliwa na hela za drugs
Richmond,
Escrow
haya yote kwa mtu mwenye akili timamu anatakiwa kujiuliza ni bahati mbaya au ni mpango mzima?