Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 2,633
- 2,378
Sijawahi kumsikia mwanaCCM hata mmoja akitamka neno 'haki'. Wote mnaimba wimbo mmoja wa neno 'Amani' Leo nimeamua kuwauliza hili neno mtakapotamka mnadhani ni tusi au kunywa sumu? Nawauliza kwa nini hili neno mnaliogopa sana kulitamka kwa watanzania?