Hivi hawa wabunge wa ccm wanavyosimama bungeni na kuanza kusema vijana wa vyuo vikuu wasikubali kushawishiwa na Chadema kugoma! Je ni kweli wabunge wa ccm wanajua shida za wananchi wao kama wameshindwa kujua haya ya wanavyuo?! SABABU ZA WANACHUO KUGOM ZIPO WAZI ,UDOM' SHULE YA Informatix waligoma kwa sababu ya fedha ya facult requirements,Shule ya social science and Humanities, sababu ni pesa ya field, DUCE waligoma sababu bodi ya mikopo walikuwa hawajapeleka pesa yao ya ada chuoni, Udsm(Mlimani) sababu ni kutaka pesa ya chakula na malazi iongezwe(na serikali imekubali kuongeza) n.k .KUMBUKA WANAFUNZI HAWA WALIFANYA KILA LIWEZEKANALO KABLA HAWAJAGOMA, KWA WALE WA SOCIAL SCIENCE WALIONGEA MPAKA NA WAZIRI MKUU LAKINI HAKUNA KILICHOFANYIKA.Kwanin wabunge wa ccm hawayaoni haya mpaka wailaumu Chadema?!