Sipendi Ubepari
JF-Expert Member
- Jan 12, 2012
- 249
- 40
Gazeti la Tanzania Daima kupitia ITV Magazeti asubuhi hii limesomwa na kuoneshwa kicha cha habari kwamba "UKAWA na CCM walimwa barua". Huku Songea hatupati mapema magazeti hayo, hivyo mwenye nakala ya gazeti hilo atubandikie hapa tuone ni mamlaka ipi imetoa barua hiyo kwa ccm na UKAWA.