na kwa NINI mambo haya yaletwe wakati akili zishaelekea kwenye uchanguzi tena kwa HATI YA DHARURA KAMA NI JAMBO HALIKUFAHAMIKA VILE .....kuna viashiria vya ufisadi hapa
oil and gas revenue management act 2015 inatakiwa ipitishwe kwa hati ya dharura kama ilivyoingizwa suala la benk kuu na sarafu 1965 katka orodha ya mambo ya muungano. CCM BAADA ya kuona oil and gas vitatolewa katika muungano na Zanzibar itajitegemea katika hilo wameona njia mbadala ni kudhibiti mapato yote yatakayopatikana kupitia BANK OF TANZANIA NA TRA chini ya wizara ya fedha ya Tanganyika .
hilo ni moja u ya utubo wa miswaada hii nyeti kwa TANZANIA.
Wanajua hilo. Muda huu wabunge wengi wana stress na presha za uchaguzi, wengi hawatasoma muswada. Walitarajia wangepitisha kilaini laini, lakini naona mambo yanakuwa magumu.
oil and gas revenue management act 2015 inatakiwa ipitishwe kwa hati ya dharura kama ilivyoingizwa suala la benk kuu na sarafu 1965 katka orodha ya mambo ya muungano. CCM BAADA ya kuona oil and gas vitatolewa katika muungano na Zanzibar itajitegemea katika hilo wameona njia mbadala ni kudhibiti mapato yote yatakayopatikana kupitia BANK OF TANZANIA NA TRA chini ya wizara ya fedha ya Tanganyika .
hilo ni moja u ya utubo wa miswaada hii nyeti kwa TANZANIA.
Rejea maneno ya Tundu jana, "Kamwambieni Obama hi kitu imeshindikana" Nadhani hiyo ndio SIRI yenyewe!
nimefurahi sana Leo,miCCM ilijua watu watatka ili yenyewe yaendelee,lkn watu wamekomaa.
Habari Wana JF!
My Take:
Mosi, tunaomba UKAWA waueleze UMMA ni nini walicho kiona nyuma ya pazia la CCM juu ya miswaada yao hii ns kama kina harufu ya UFISADI basi ni bora tuelezwa tujue kuliko kuaminishwa kwamba Wabumge wa UKAWA ni watu wa fujo na dharau kwa BUNGE letu TUKUFU.