CCM na Serikali yake yakimbia kivuli chake

CCM na Serikali yake yakimbia kivuli chake

Gwaje

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
299
Reaction score
86
Miaka ya 1995 na 2000 wakati wa uchaguzi viongozi wa CCM na wagombea wao kupitia mikutano mbalimbali na hata TV ya taifa walikuwa na kampeni yenye mlengo mbaya kwa vyama pinzani kwa kupandikiza chuki ya udini. Enzi hizo chama kilichokuwa na nguvu zaidi za kiupinzani kama CUF kiliitwa jina la ngangali na kilihusishwa na uislamu na kampeni zilipigwa wakristo wasikichague kwa kuwa ni chama chenye udini ndani yake. CCM ilikuwa pia ikirusha picha za mauaji ya Rwanda na Burundi kama ishara au onyo kwa watanzania wasichague chama hicho. Pia miaka ya hivi karibuni hasa 2010 serikali na CCM ilipoona kumeibuka chama kingine cha siasa chenye nguvu za kutaka kuchukua nchi yaani CHADEMA, viongozi hao kwa TV ama mihadhara wakaanza tena kupanda mbegu za udini kwamba CDM ni chama cha udini na hasa ukristo. Bahati nzuri awamu hii mbegu hii imekubari kuota na sasa matunda yameanza kuonekana na hapa serikali na CCM inaibuka na kujifanya inashangaa suala hili la udini limetoka wapi? CCM imeanza kwa maana hii CCM inakataa kuwa ndio muasisi wa UDINI nchini
 
Miaka ya 1995 na 2000 wakati wa uchaguzi viongozi wa CCM na wagombea wao kupitia mikutano mbalimbali na hata TV ya taifa walikuwa na kampeni yenye mlengo mbaya kwa vyama pinzani kwa kupandikiza chuki ya udini. Enzi hizo chama kilichokuwa na nguvu zaidi za kiupinzani kama CUF kiliitwa jina la ngangali na kilihusishwa na uislamu na kampeni zilipigwa wakristo wasikichague kwa kuwa ni chama chenye udini ndani yake. CCM ilikuwa pia ikirusha picha za mauaji ya Rwanda na Burundi kama ishara au onyo kwa watanzania wasichague chama hicho. Pia miaka ya hivi karibuni hasa 2010 serikali na CCM ilipoona kumeibuka chama kingine cha siasa chenye nguvu za kutaka kuchukua nchi yaani CHADEMA, viongozi hao kwa TV ama mihadhara wakaanza tena kupanda mbegu za udini kwamba CDM ni chama cha udini na hasa ukristo. Bahati nzuri awamu hii mbegu hii imekubari kuota na sasa matunda yameanza kuonekana na hapa serikali na CCM inaibuka na kujifanya inashangaa suala hili la udini limetoka wapi? CCM imeanza kwa maana hii CCM inakataa kuwa ndio muasisi wa UDINI nchini

.............kuna mengi sana kwenye siasa za tz, nahisi viongozi wengi hawana dhamira ya dhati ya kuwakomboa watz wenzao!!!!!
 
Ni kwel wamefanya vile ila ni kwa nin tuliona waz kuwa hawa ndg zetu hawatutakii mema ila tukafumba macho na kuwachagua? Km yametokea haya ni lazima watz wajue chanzo n nin,wakishajua chanzo wachukue hatua sahihi. Tumchague kiongozi atakayeipenda Tanzania na atakayewafanya watanzania waipende Tz
 
Back
Top Bottom