Ccm na "ndiyoooooo" bila ya hata kufikiria kwa akili tunawasubiriii october 2015

jonaleemanson

Member
Sep 21, 2010
73
70
Tunawaangalia na kuwafuatilia bungeni.Endeleeni na kupitisha sheria za kipuuzi Kama hii ya Cyber crime. Mnaambiwa vitu vya maana lakini kwakuwa mko wengi bungeni na wengi wenu Hanna uwezo kabisa isipokua kubwatuka "Ndiyoooooooo" bila hata yakujaribu kufikilisha vichwa vyenu mpime maoni ya wenzenu hata Kama ni wapinzani. Tumejua kwamba uwingi wenu bungeni unatusababishia hasara kubwa Sana kupitisha sheria mbovu sasa hasira zetu ni October 2015 dawa yenu inachemka. Hii nawalenga wabunge wote wa CCM. Namwenye hoja na aseme.
 
Mkuu kweli hawa jamaa wamedhamiria kutufunga midomo kabisa
 
Tunawaangalia na kuwafuatilia bungeni.Endeleeni na kupitisha sheria za kipuuzi Kama hii ya Cyber crime. Mnaambiwa vitu vya maana lakini kwakuwa mko wengi bungeni na wengi wenu Hanna uwezo kabisa isipokua kubwatuka "Ndiyoooooooo" bila hata yakujaribu kufikilisha vichwa vyenu mpime maoni ya wenzenu hata Kama ni wapinzani. Tumejua kwamba uwingi wenu bungeni unatusababishia hasara kubwa Sana kupitisha sheria mbovu sasa hasira zetu ni October 2015 dawa yenu inachemka. Hii nawalenga wabunge wote wa CCM. Namwenye hoja na aseme.

Kwa kweli inaudhi sana.Mbunge wa CCM akinyanyuka na kushauri jambo,linakubaliwa.Ila mpinzani,hata akishauri jambo la manufaa kwa taifa,spika na wabunge wa CCM,hawakubali.Kweli tunahaja ya kuipumzisha CCM.
 
Tunawaangalia na kuwafuatilia bungeni.Endeleeni na kupitisha sheria za kipuuzi Kama hii ya Cyber crime. Mnaambiwa vitu vya maana lakini kwakuwa mko wengi bungeni na wengi wenu Hanna uwezo kabisa isipokua kubwatuka "Ndiyoooooooo" bila hata yakujaribu kufikilisha vichwa vyenu mpime maoni ya wenzenu hata Kama ni wapinzani. Tumejua kwamba uwingi wenu bungeni unatusababishia hasara kubwa Sana kupitisha sheria mbovu sasa hasira zetu ni October 2015 dawa yenu inachemka. Hii nawalenga wabunge wote wa CCM. Namwenye hoja na aseme.

Yan magamba ni shida leo ni moja ya cku walizonshangaza na kunikera
 
Yani hapo hata hawajadhamiria picha chafu but wana yao ya moyoni. Mda sio mrefu tutakuwa kama Korea kaskazini
 
Wabunge wa ccm kazi yao kuitikia ndiyo ama siyo then watakwenda kukamata posho. Bunge la ajabu sana.
 
Bunge ni Lissu, Mnyika, Mwanasheria mkuu wa Serikali, Waziri na Naibu wake, Mama Makinda na Ndiyooooooo za wabunge wa CCM!
 
nilikiaja kwa lengo la kuandika hilihili .


yani kuna wabunge wapo hapa bungeni kusema ndiyooooo , hawana mchango wowote ,mtu hata hajui anapigia nini kura kazi ninkusema ndiyoooo
 
Kwa kweli ccm ni vilaza.SERUKAMBA KACHAPIA KIMOMBO CHA KAWAIDA KABISA ."YOU WAS WRONG" ukitaka kupruvu mchek kwenye app ya simu tv kama haunayo pakua uweke
 
Tunawaangalia na kuwafuatilia bungeni.Endeleeni na kupitisha sheria za kipuuzi Kama hii ya Cyber crime. Mnaambiwa vitu vya maana lakini kwakuwa mko wengi bungeni na wengi wenu Hanna uwezo kabisa isipokua kubwatuka "Ndiyoooooooo" bila hata yakujaribu kufikilisha vichwa vyenu mpime maoni ya wenzenu hata Kama ni wapinzani. Tumejua kwamba uwingi wenu bungeni unatusababishia hasara kubwa Sana kupitisha sheria mbovu sasa hasira zetu ni October 2015 dawa yenu inachemka. Hii nawalenga wabunge wote wa CCM. Namwenye hoja na aseme.

yaan nimekaa naangalia hapa upuuzi wa majibu ya CCM, nikajikuta natafuta jiwe nirushe, nakuja stuka narushia tv aisee wanakera kinyamaaaaaaa!!! how i wish october tuwe kitu kimoja jaman daaaah!!!
 
Tunawaangalia na kuwafuatilia bungeni.Endeleeni na kupitisha sheria za kipuuzi Kama hii ya Cyber crime. Mnaambiwa vitu vya maana lakini kwakuwa mko wengi bungeni na wengi wenu Hanna uwezo kabisa isipokua kubwatuka "Ndiyoooooooo" bila hata yakujaribu kufikilisha vichwa vyenu mpime maoni ya wenzenu hata Kama ni wapinzani. Tumejua kwamba uwingi wenu bungeni unatusababishia hasara kubwa Sana kupitisha sheria mbovu sasa hasira zetu ni October 2015 dawa yenu inachemka. Hii nawalenga wabunge wote wa CCM. Namwenye hoja na aseme.

kuna saut za kinadada humo kama vimetolewa kwenye danguro vimeletwa hapo kazi kuitika tu ndiyoooooooooooo hata havionekan vimekaa wapi? havichangiii havielewi hawana hata mswada mkononi!! wanaudhi jaman daaaah
 
Ccm hakuna kitu vichwa maji waswahil wengi, usomi wao ni bora hata watoto wa chakechea wanaakil timam akiambiw acha anacha kwl, wengi wao wanafuata mkumbo tu bado wanadhana ile ya kizaman ukitofautiana na serikal au akipingana na serikal anapata shida kama tulivyoone wabunge wengine wa ccm alipoungana na wapinza kwenye bunge la katika walitumiwa vitisho sn,
Ccm jiandaen tutawapiga chin ile mbaya wananchi tumewachoka na ni nchi nxima.
 
Mwana BAVICHA yoyote atakaetukana kwenye mtandao wa kijamii ajiandae kwenda jela. SHERIA NI MSUMENO
 
Inatia hasira sana wanafiki wengi ndio wanasema ndiooooooooooo.inauziiiiii na inaumaaa kwa huu upuuzi Mnyika na Lissu wanapambana sana lkn wanafiki ndio walio wengi.na hii MISUKULE ya Lumumba sijui ipo wapi au haiangalii bunge
 
Back
Top Bottom